Iv tbc ni kituo cha taifa au ni cha kundi frani

challebahu maige nim

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2012
Posts
315
Reaction score
77
Nilikua niki tegemea tbc wataonyesha mchezo wa twiga stars na zambia lakini awakuonyesha wala kutangaza kwenye radio. Kumbukeni kua twiga stars inakua ikifanya vizuli kuliko timu yetu ya wanaume lakini aijaliwi, aitangazwi labda ndiomaana michezo ya nyumbani aifanyi vizuri kwasababu wachezaji wakiwa hapa wanaona tofauti yao na ya taifa starts inavyoandaliwa. Uenda tff nayo inachangia kwa kuto onyeswa match za twiga stars. Itv ilikua inaonyesha match zao lakini siwezi kuwalaumu hiyo ni tv binafusi inafanyia faida ikijitolea tunashukuru tbc ndio wanawajibu wa kuonyesha match zote zinazousu taifa kama tv za mataifa mangine zinavyofanya
 
Tbc ipo kwa ajili ya kuonyesha mambo ya serikali na chama tawala hayo menginw hayawahusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…