Ivanka Trump yupo wapi au mzee Trump ashambwaga?

Ivanka Trump yupo wapi au mzee Trump ashambwaga?

Khanji kapoor

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2024
Posts
1,198
Reaction score
2,695
Huyu mke wa Trump mbona simwoni. Sana kwenye media siku hizi.

Kipindi Trump yupo Rais walikuwa wanapendeza mno wakiwa kwenye lile dege wakitembelea nchi kadhaa.

Lkn Simeon tena yule mama mzuri sijui kamkorofsha nn mzee bepari.

Tumwombe Trump asimsahau kwenye teuzi.
 
Huyu mke wa Trump mbona simwoni. Sana kwenye media siku hizi.

Kipindi Trump yupo Rais walikuwa wanapendeza mno wakiwa kwenye lile dege wakitembelea nchi kadhaa.

Lkn Simeon tena yule mama mzuri sijui kamkorofsha nn mzee bepari.

Tumwombe Trump asimsahau kwenye teuzi.
Ivanka ni mkewe au bintiye? Hebu mjiridhishe kabla ya ku-post humu.
 
Huyu mke wa Trump mbona simwoni. Sana kwenye media siku hizi.

Kipindi Trump yupo Rais walikuwa wanapendeza mno wakiwa kwenye lile dege wakitembelea nchi kadhaa.

Lkn Simeon tena yule mama mzuri sijui kamkorofsha nn mzee bepari.

Tumwombe Trump asimsahau kwenye teuzi.
Kusema kweli hawapendezani
 
Huyu mke wa Trump mbona simwoni. Sana kwenye media siku hizi.

Kipindi Trump yupo Rais walikuwa wanapendeza mno wakiwa kwenye lile dege wakitembelea nchi kadhaa.

Lkn Simeon tena yule mama mzuri sijui kamkorofsha nn mzee bepari.

Tumwombe Trump asimsahau kwenye teuzi.
Trump kajidai sasa mfuasi wa Paulo ukisha kunywa maziwa ya mifugo yako unanza kuhubiri sasa 😄 wafuasi wa Paulo noma sana

1 Wakorintho 1-11 Neno: Bibilia Takatifu
Ni mfugaji yupi asiyekunywa maziwa ya kundi la wanyama wake?
 
Huyu mke wa Trump mbona simwoni. Sana kwenye media siku hizi.

Kipindi Trump yupo Rais walikuwa wanapendeza mno wakiwa kwenye lile dege wakitembelea nchi kadhaa.

Lkn Simeon tena yule mama mzuri sijui kamkorofsha nn mzee bepari.

Tumwombe Trump asimsahau kwenye teuzi.
Yuko na Jared Kushner.
 
Trump kajidai sasa mfuasi wa Paulo ukisha kunywa maziwa ya mifugo yako unanza kuhubiri sasa 😄 wafuasi wa Paulo noma sana

1 Wakorintho 1-11 Neno: Bibilia Takatifu
Ni mfugaji yupi asiyekunywa maziwa ya kundi la wanyama wake?
Liarabu tarajiwa jitu jeusiii tii kama tako la iddi Amin linatamani kuwa liarabu ndo maana una sijdah kubwa kama chapati licha ya uweusi wako inaonekana.
 
Liarabu tarajiwa jitu jeusiii tii kama tako la iddi Amin linatamani kuwa liarabu ndo maana una sijdah kubwa kama chapati licha ya uweusi wako inaonekana.
Siku hizi unachagua hata ukitaka kuwa na pink nose unaweza si mchina yupo 🤣

Trump kamua kuwa mfata dini sasa ya uwongo, ili aseme na yeye kawa mungu wenu, na nyie kwa ujinga wenu mtamini huyo ni mtoto wa Yesu sasa, sababu hamjajua Mungu nani bado, eti Mungu anaishi ndani Yetu. Wakristo mnavituko nyie, kila mkristo kwenye moyo wake yupo mungu ndani yake. Hivi mnadhani mungu ni kama size yake kitumbua au andazi 😄

Nawaoneni huruma sana aisay we unajua Mungu ukubwa wake vipi? Unaona mbingu ziko saba na ardhi ziko saba basi anazishikilia yeye, tena halali hata 1second. Nyie mnatuambia mungu wenu kafa siku tatu, afu kafufuka afu akapaa yuko pembeni sasa kakaa kulia kwa baba yake, mara alijibadilisha akaja kwa umbo la binadamu, alipo kuja duniani sa zile mbingu saba alizishikia ndani ya dunia hahaha, au zile ardhi saba alizishikia ndani ya dunia, na alipo lala usingizi hazikuanguka? vichaa kweli nyie.
 
Y
Huyu mke wa Trump mbona simwoni. Sana kwenye media siku hizi.

Kipindi Trump yupo Rais walikuwa wanapendeza mno wakiwa kwenye lile dege wakitembelea nchi kadhaa.

Lkn Simeon tena yule mama mzuri sijui kamkorofsha nn mzee bepari.

Tumwombe Trump asimsahau kwenye teuzi.
Upo kwenye timu yake yawasgauri.
 
Siku hizi unachagua hata ukitaka kuwa na pink nose unaweza si mchina yupo 🤣

Trump kamua kuwa mfata dini sasa ya uwongo, ili aseme na yeye kawa mungu wenu, na nyie kwa ujinga wenu mtamini huyo ni mtoto wa Yesu sasa, sababu hamjajua Mungu nani bado, eti Mungu anaishi ndani Yetu. Wakristo mnavituko nyie, kila mkristo kwenye moyo wake yupo mungu ndani yake. Hivi mnadhani mungu ni kama size yake kitumbua au andazi 😄

Nawaoneni huruma sana aisay we unajua Mungu ukubwa wake vipi? Unaona mbingu ziko saba na ardhi ziko saba basi anazishikilia yeye, tena halali hata 1second. Nyie mnatuambia mungu wenu kafa siku tatu, afu kafufuka afu akapaa yuko pembeni sasa kakaa kulia kwa baba yake, mara alijibadilisha akaja kwa umbo la binadamu, alipo kuja duniani sa zile mbingu saba alizishikia ndani ya dunia hahaha, au zile ardhi saba alizishikia ndani ya dunia, na alipo lala usingizi hazikuanguka? vichaa kweli nyie.
SAY-NGAY
 
Back
Top Bottom