denzo washington
Member
- May 7, 2013
- 23
- 7
Mda kidogo umepita sijasikia taarifa yeyote kuhusu ile kesi hewa aliyofunguliwa lady jaydee,naiita kesi hewa kwa kuwa mshtakiwa mwenye bado hajasomewa shtaka lake mpaka leo kama sikosei,ila nakumbuka mara ya mwisho kabla ya show ya jide tarehe kumi na tatu(13) alihudhuria mahakamani mapema kusikiliza mashtaka yake,ila cha ajabu ruge na kusaga hawajuweza kutokea mahakamni apo,tokea apo hadi leo sijasikia kinachoendelea kuhusu kesi yao,kama kuna anayejua zaidi atupe data apa..