Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 12,000
Ndio ni mimi vipi nikupige ban kidogo?we ndo unatia watu ban
usintaftie kesi mzee babademu wake ni nan King?
Invisible ni yeye, huwezi kuwa mtu mwingine wee pambana tu na hali yako!nauliza uyu jamaa anaitwa invisible ndo nani? afu nami nataka kua invisible
Kuhuliza ni nini?Umeelewa alicho huliza??
INVI_KISBO [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]Ndo mmiliki wa mabasi ya KISBO
[emoji23][emoji23][emoji23]upo hai afya teleMshana vipi ule uzi wetu wa gambe sijaufumua muda,nikilewa pombe ndio nakumbuka tu[emoji1787]
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji12]Mkuu umetukana "simana" wahaya watapita kukupa ufafanuzi.
Majibu yenu haya yamemfanya mtoa mada aukimbie uzi wake loh[emoji30][emoji30][emoji3][emoji3]Jamaa flani tunalewa nae bar
Ni moderatornauliza uyu jamaa anaitwa invisible ndo nani? afu nami nataka kua invisible
mshikaji kaandika kiungo cha binadamu bila kujua!Mkuu umetukana "simana" wahaya watapita kukupa ufafanuzi.