cmbowe
Member
- Apr 18, 2013
- 18
- 3
Jamani its too much..
Mwaka huu Form 6 hatuelewi serikali na tcu kabisaaaa.
Kwanza sielewi inaamanisha nini kwa Jeshi kutaka tuanze kusoma vyuo January wakati TCU wameshatangaza ni kati ya mwezi wa tisa na kumi.. Mwaka huu.. Je, kuna contradiction gani between TCU na Jeshi ?? Kwanini wana JF Mwenzangu unafikiri sisi wanafunzi wa Form 6 2013 tunazungushgwa sana na hii serikali ya CCM..JE???
-- Kunawatu wana taka kula Budgets za Jeshi hapo au..
-- TCU inakomoa serikali..
Je nini.. Pls tusaidiane kidogo!!!
Asante:A S 39::A S 39::A S 39::A S 39::A S 39:
:disapointed:
Mwaka huu Form 6 hatuelewi serikali na tcu kabisaaaa.
Kwanza sielewi inaamanisha nini kwa Jeshi kutaka tuanze kusoma vyuo January wakati TCU wameshatangaza ni kati ya mwezi wa tisa na kumi.. Mwaka huu.. Je, kuna contradiction gani between TCU na Jeshi ?? Kwanini wana JF Mwenzangu unafikiri sisi wanafunzi wa Form 6 2013 tunazungushgwa sana na hii serikali ya CCM..JE???
-- Kunawatu wana taka kula Budgets za Jeshi hapo au..
-- TCU inakomoa serikali..
Je nini.. Pls tusaidiane kidogo!!!
Asante:A S 39::A S 39::A S 39::A S 39::A S 39:
:disapointed: