Ivi kazi hii ni ya nani

ni kazi ya bwana au bibi.... hakuna kanuni mkuu

umeshwahi kusikia ndoa ina job description?
 
Kama ni mume wangu, namfulia kwa raha zote na nitafanya kazi zote za nyumbani, my biggest problem napenda mwanaume anayerudi nyumbani mapemaaa, saa 12 kiwa home basi mie najiona malkia
Mmmh! Kongosho tafadhali ni pm!
 
Kama ni mume wangu, namfulia kwa raha zote na nitafanya kazi zote za nyumbani, my biggest problem napenda mwanaume anayerudi nyumbani mapemaaa, saa 12 kiwa home basi mie najiona malkia
ungenifurahia sana wewe,me saa kumi ni home
 
ungenifurahia sana wewe,me saa kumi ni home
ha ha ha, kwa kweli hilo kwangu ni limbwata tosha, hata mtu aniambie mumeo kakuktwa gesti na changu kashindwa kumlipa nitaenda kumlipia narudi naye home bila kuuliza chochote.
 
Kwanini wajibu uwe wa mwingine tofauti na mvaaji???

Wajibu ni wa mvaaji....mwingine akifanya anasaidia na sio kwamba ni kazi yake!!!
Nakubalia na wewe kabisa
 
ha ha ha, kwa kweli hilo kwangu ni limbwata tosha, hata mtu aniambie mumeo kakuktwa gesti na changu kashindwa kumlipa nitaenda kumlipia narudi naye home bila kuuliza chochote.
crazy??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…