iamriq_arthur
JF-Expert Member
- May 1, 2021
- 440
- 1,086
Sasa nimekua mkubwa, nimegundua kuna baadhi ya wazazi hawapendi kuona watoto wao wakifanikiwa kimaisha na wakiwa na maisha mazuri,
Ukishafanikiwa kimaisha mzazi (Baba) anakupiga vita kali ili urudi nyuma ikibidi ufirisike kabisa ili yeye awe na furaha .[emoji30]
From now on , sitomwamini mtu yeyote hapa duniani zaidi ya mimi mwenyewe[emoji119]
KAMAWUSHAWAHI PITIA SITUATION YA KUWAZA KUJINYONGA, NDO HII NINAYOPITIA MIMI SASAHIVI , NAHISI SITHAMINIKI NA MTU YEYOTE HAPA DUNIANI
Ukishafanikiwa kimaisha mzazi (Baba) anakupiga vita kali ili urudi nyuma ikibidi ufirisike kabisa ili yeye awe na furaha .[emoji30]
From now on , sitomwamini mtu yeyote hapa duniani zaidi ya mimi mwenyewe[emoji119]
KAMAWUSHAWAHI PITIA SITUATION YA KUWAZA KUJINYONGA, NDO HII NINAYOPITIA MIMI SASAHIVI , NAHISI SITHAMINIKI NA MTU YEYOTE HAPA DUNIANI