Hapana mkuu,vile vimelea havikai mdomoni.Hivi kwa mfano mwanamke akiwa na ugonjwa kama gono au kaswende anaponyonya uume hawezi kumwachia mwanaume maambukizi ya ugonjwa huo hata kama hawakufanya tendo jingine la ndoa?
Aina shidaHivi kwa mfano mwanamke akiwa na ugonjwa kama gono au kaswende anaponyonya uume hawezi kumwachia mwanaume maambukizi ya ugonjwa huo hata kama hawakufanya tendo jingine la ndoa?