Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
cheating hata 'emotional cheating' ni cheating so zote hizo...
but believe me.wapo watu hawa cheat kabisa....very rare but wapo...
Hahahaha, usijali PM hazipungui wala nini.
Mmmh maybe an attorney, I think you would make one hell of an attorney.
I owe you a LIKE.
Duh! Itabidi nitafakari. Mimi nilikusudia kuoa afande mmoja pale Lugalo kwao Nachingwea.itategemeana na kazi unayofanya
why do u think walimu wanaonekana ni 'better wives'?????
jiulize hilo....
Yeah, he did!Boss nailed, didn't he?
But I know daddy trusts both of his two daughters.
Ngoja nitafute hao wanaume nifanye research.
tofauti ipo moja tu............wakati wa kushusha mzigo, engineer analia ki mathematics wakati ngwine wanapiga makelele haooo
Halafu ngoja nikuulize....hivi kwa mfano, kulingana na michango yangu hapa JF, ningekuwa nami nimebahatika kusoma hadi chuo kikuu na kupata lidigrii, unadhani ningekuwa nimesomea fani gani?
Inasemekana wanaume walisoma masomo ya kujieleza na hawa waliosoma masomo magumu magumu kama engineering n.k.. Huwa wana urgue tofauti na pia hata katika ku-solve matatizo wana tofautiana.
Nauliza sababu kuna shosty wangu alikuwa na boyfriend wake engineer sasa wamemwagana, sasa kapata mngwini ndio ananiambia kua wana tofautiana kabisa. Anajuta anamkumbuka Mpennzi wake wa awali.
Je hii ina apply pia na kwa ladiez or? naomba kuuliza ili jaman.
Duh! Itabidi nitafakari. Mimi nilikusudia kuoa afande mmoja pale Lugalo kwao Nachingwea.
Mimi nilitoroka la 7 yeye kamaliza chuo. Mimi ninauza nyanya kwenye kibaraza yeye yuko kikosi cha mizinga.
Kwa hivyo nitarajie nini? Push-ups na kuamshwa 9 za usiku kwa ligwalide?