Ivi kwenye budget ya mwaka ujao2012/13,elimu sio kipaumbele?

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
Wadau,nimekua napekua pekua magazeti mbalimbali ili kufuatlia budget ya mwaka ujao,lakin naona sector ya elimu haijapewa kipaumbele tena kama miaka iliyotangulia!!sasa najiuliza,ndo kwamba watawala wetu wameamua kuwanyima elimu watoto wa maskini ili wao waendelee kututawala au ndo tueleweje sie?
 
Ndo inamaanisha hvo na waziri mwenyewe wa elimu kalala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…