hapana mkuu,sio kweli mana Mlimani Univ (CKD) wanafunz walokuwa na supp pamoja na special examz wameanza kusain jana na wanasain kiasi kilekile na allocation zao hazijabadilika ipo kam awali.tatzo lilikuwa ni kwamba matokeo yao hayakufika bodi mapema.so iko ivo kwamb ni wanapewa pesa kam kawaida