IVI NI UZI UPI ULIANZISHA UKAPATA MICHANGO MINGI?

IVI NI UZI UPI ULIANZISHA UKAPATA MICHANGO MINGI?

comesucces

Senior Member
Joined
Feb 21, 2017
Posts
160
Reaction score
105
Watu wengi tunaanzisha thread tofauti tofauti swali langu Leo ivi ni Uzi/thread gani ulipata comment nyingi na IPI ulipata comment chache unaweza kutupa sababu kwanini zilikuwa chache na kwanini nyingine ulipata comment nyingi????????
 
Aseee!kweli hii ni chit chat wallah!

Haya after 4hrs mi ndio wa kwanza kureply hii thread yako . . .unafikiri ni kwanini eti?
 
Leta hoja na mijadala ya maana sio unaleta uzi kama huu. Sasa ukijua uzi uliochangiwa sana inakusaidia nini??
 
Kiufupi tu anzisha uzi iliopangilika
 
Back
Top Bottom