Ivi selection za tcu zimefikia hatua gani?


mmmh mheshimiwa unazidi kupigilia msumari kwenye kidonda..!! Maana Course zangu zote nimetupia pande zile za udzm na Sua xo naona bado mambo hayako muzuka kabisaaa
 
dah iyo inatisha tena kama medicine mwaka huu sijui itakuaje wadau dah coz nikicheki wa2 walioomba medicine kama kcmc hali ni mbaya ni kuomba kwa mungu 2 coz mambo hayaeleweki aisee
 
dah hakuna kukata tamaa mjomba ni kukomaa 2 na kuomba mungu afu mwenye taarifa za hurbert kairuki ebu atupe habari kuhusu data za selection yan walioomba as first choice na walio eligible
 
UDOM haina watu jamani, so kwa walio omba UDOM toeni shaka
 
Nimeomba hii program(NA NILIKUWA ELIGIBLE);
*Bachelor of Education Mathematics(TEKU)
*Capacity-300
*Total applicants applied-335
*Eligible-243
*1st choice-27(pamoja na mimi)
Je,naweza kupata?
bila shaka labda wawe na chuki na wewe.
 
Watu wamekimbilia mikopo zaidi,hahaha
 
Has any1 noticed admission capacity inashuka day 2 day, lets say ilikua 60 now ni 40 somethng! Has any1?
 
Has any1 noticed admission capacity inashuka day 2 day, lets say ilikua 60 now ni 40 somethng! Has any1?

yeah!hata me nimeona,kuna kozi inaitwa ud041-bcom accounting,admission capacity ilikua 220,sasa hvi ni 218.
 
Tafadhali mtu mwenye update kuhusu eduacation ya chuo cha TUDARCO walioomba wangapi? Plz nipo village!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…