Hornet JF-Expert Member Joined Apr 29, 2013 Posts 26,486 Reaction score 51,156 Dec 24, 2013 #21 Hahahaaa mwingine alilewa akagonga bajaji..kufika hospital bado anatukana sasa hapo sielewi ukubwa wa hiyo pombe kumwendesha mtu kihivyo..
Hahahaaa mwingine alilewa akagonga bajaji..kufika hospital bado anatukana sasa hapo sielewi ukubwa wa hiyo pombe kumwendesha mtu kihivyo..
samora10 JF-Expert Member Joined Jul 21, 2010 Posts 7,602 Reaction score 4,811 Dec 24, 2013 #22 Ukiona hivyo ujue Pombe za mawazo hizo..
hekimatele JF-Expert Member Joined May 31, 2011 Posts 9,890 Reaction score 2,795 Dec 24, 2013 #23 1. Pombe za bure hizo 2. Wana tumia pombe kuendeleza agenda zao za matusi. 3. Akili fupi za mbayuwayu 4. Ulimbukeni 5. Mafunzo ya matusi hayo
1. Pombe za bure hizo 2. Wana tumia pombe kuendeleza agenda zao za matusi. 3. Akili fupi za mbayuwayu 4. Ulimbukeni 5. Mafunzo ya matusi hayo
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 301,577 Reaction score 754,412 Feb 17, 2020 #24 Huo sio ulevi... Ulevi usisingiziwe na mambo mabaya Vituka said: Ivi ni ushamba au ulimbukeni? Umelewa kwa pesa yako afu unatoa matusi ovyo! Ivi sheria inasemaje kuhusu watoa matusi ovyo hadharani? Ningekuwa na bastola nakuchapa za USO! Click to expand... Jr[emoji769]
Huo sio ulevi... Ulevi usisingiziwe na mambo mabaya Vituka said: Ivi ni ushamba au ulimbukeni? Umelewa kwa pesa yako afu unatoa matusi ovyo! Ivi sheria inasemaje kuhusu watoa matusi ovyo hadharani? Ningekuwa na bastola nakuchapa za USO! Click to expand... Jr[emoji769]