dena ni kwamba ukiwa huna shida utawasikia kwa machale ngoja misongo ya mawazo ije mpaka utashangaa,mpka waliokuwa kwenye maboksi ivi wanaume nao hukutwa na hali hii au ni kina dada tu .
naona kina baba wamekimbia kutoa maoni yao siwaoni
Yaani uliyosema ni kweli kabisa, ndio inakuwa nuksi kabisa, hata wale marafiki uliokuwa nao wanakukimbia, mbali na watu unaowadai hawalipi madeni, maadamu vurugu katika maisha.
cha msingi ni kujipa moyo na kutafuta suluhisho na sio kukurupuka unaweza kutoa maamuzi ambayo yataendelea kuleta shida zaidi.