Ivi wanawake...!

Ivi wanawake...!

Wi-Fi

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
2,091
Reaction score
1,381
Hi to all, kwa kufupisha: ivi wanawake jamani mnataka wanaume tuweje/tuwafanyie nini ili muweze kuamini mnapendwa kweli?? kwa wanawake na wanaume wenye kujua siri ya mafanikio..welcome,
 
Omba ulishwe limbwata, hakuna maumivu kabisa.
 
Hi to all, kwa kufupisha: ivi wanawake jamani mnataka wanaume tuweje/tuwafanyie nini ili muweze kuamini mnapendwa kweli?? kwa wanawake na wanaume wenye kujua siri ya mafanikio..welcome,

The same can be asked kwa wanaume!!
 
Hi to all, kwa kufupisha: ivi wanawake jamani mnataka wanaume tuweje/tuwafanyie nini ili muweze kuamini mnapendwa kweli?? kwa wanawake na wanaume wenye kujua siri ya mafanikio..welcome,

wewe jitahidi TU
Ukiwa na pesa MBONA utapendwa TU
kaza msuli ukishazipata watakuja wenyewe TU
 
Hi to all, kwa kufupisha: ivi wanawake jamani mnataka wanaume tuweje/tuwafanyie nini ili muweze kuamini mnapendwa kweli?? kwa wanawake na wanaume wenye kujua siri ya mafanikio..welcome,

Vipi! Umeumizwa? Pole.
 
Samahani Mkuu,.. uko kidato cha ngapi??


Babu DC
 
Hi to all, kwa kufupisha: ivi wanawake jamani mnataka wanaume tuweje/tuwafanyie nini ili muweze kuamini mnapendwa kweli?? kwa wanawake na wanaume wenye kujua siri ya mafanikio..welcome,

tunawataka muwe mkitembea majestikale ndio tutaamini.......
 
tunawataka muwe mkitembea majestikale ndio tutaamini.......

ebu ngoja kwanza napata kizunguzungu sijui nifungue hii dikshenari ya kingereza au hii ya TUKI!
 
hii question yako nahisi the same thing na wanaume pia bcz na nyinyi muna tupiga mizinga pia ,, tena nyinyi ndio haooo,,kwahiyo just bashraf tu hiyo..
 
Back
Top Bottom