luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Kuna tamthilia 2 ivi huwa nazikubali sana isivyo bahati siku pataga wasaa wa kuzimalizia na kuzifuatilia coz nilikuwa na muda finyuu sanaa alafu ilikuwa ni kitambo sanaa
Sasa ivi i wiah nizione maana zitanikumbusha mbali pia tamthilia zenyewe ni hizi
Rebeca hii ilikuwa inaonyweshwa Itv enzi iO miaka ya 2006 au 2007 kama sikosei kulikuwa na mdada mle alikuwa anajua sana kudeka
La revancha hii ilikuwa inaonyweshwa na Tbc aisee hii sasa ndio ili bamba ilikuwa ina action ndani yake
Sasa ivi i wiah nizione maana zitanikumbusha mbali pia tamthilia zenyewe ni hizi
Rebeca hii ilikuwa inaonyweshwa Itv enzi iO miaka ya 2006 au 2007 kama sikosei kulikuwa na mdada mle alikuwa anajua sana kudeka
La revancha hii ilikuwa inaonyweshwa na Tbc aisee hii sasa ndio ili bamba ilikuwa ina action ndani yake