ivo 1-0 kaseja...the sagga continua

Hakukuwa na haja ya Yanga kumsajili Kaseja kwa kuwa walikuwa tayari wana kipa mwingine, Ivo, ambaye naye ni top class, hiyo hela iliyotumika kwa usajili wa Kaseja ingeweza kutumika kwa usajili wa wachezaji wa ndani. Naona kama huu ulikuwa ni usajili wa kukomoana na kuonyeshana jeuri tu.
 
na viwanja vingi vya soka hapa nchini viko chini ya milki yao but kuviendeleza wanashindwakwa nini visirudishwe serikalini?

serikali ndo itaweza kuvitunza?Si bora wabinafsishe tu wameshindwa kutunza ndege ya Rais mpaka inagongwa ndo wataweza kutunza viwanja?
 
Weweeeeeeeeeeeee, CCM every where,huyo anayemwaga mahela jangwani si alipigwa chini kuwa mbunge wa Kigamboni?,aliyewahi kuwa meneja wa jangwani huko nyuma akaishia kuwa mbunge wa Cuf huko kigamboni si alipiga U turn na kurudi CCM,yule jamaa aliyewahi (RIP) kuwa mbunge wa Kilombelo zamani si alitokea Jangwani,orodha ni ndefu sana,ukija msimbazi,profesa si mbunge wa ccm, au yule doctor bingwa wa mifupa wa Ukuryani si mbunge wa ccm. Au umesahau Tyson alikuwa mbunge wa ccm,au huyu dogo aliyekandamizwa jela na kuachiwa,huna habari kuwa alikuwa anataka kugombea ubunge kupitia ccm.
 

ok turudi kwenye mada je ivo na kaseja je we uko wapi?
 
haya wakuu leo game na vitalo kadaka kaseja na yanga wameshinda 2-0 je matokeo yetu yatakuwa ivo 1-1 kaseja au?
mnyonge mnyongeni
 
Throw back
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…