Team R
Senior Member
- Jan 2, 2014
- 186
- 33
matokeo kidato cha pili ya metoka.ila tatzo kubwa linalojitokeza kwasasa ni njinsi waziri wa elimu na naibu wake na taasis ya elmu inayokuwa awaelewani
waziri wa elimu (mh shukuru kawambwa) ktotoa maamuzi juu ya kurudi kwa waliofeli au kuendlea na kidato cha tatu
naibu waziri pia hatoa tamko lolote kuhsu mitihan.Ila tamko la Taifa likisema kuwa waliofeli waendlee kidato cha tatu,ila waandaliwe masomo yaziada yaani remidial class kwa wali waliofeli huku wakiendlea na masomo ya kdato cha tatu.
Taasis ya elimu nayo ikuwa mbli na mada hii,ila kauli yao inasema wanafunzi waliofeli wanapaswa kurudi ili kupunguza ongezeko La kufeli kidato cha nne katka mtihan wa Taifa.
Pia wanasema kuwa waliofeli awamu ya pili wanatakiwa kuondlewa katka (formal education) na kuendlea na masomo ya ufundi na veta.Ambpo wanaweza kusma pia na kuwa na usawa na wa formal education.
SWALI; je wanafunzi wa mwaka huu (wanaoingia kidato cha tatu 2014 )wasiporudishwa,vp kuhusu wanafunzi wa Mwaka jana waliorudishwa 2013? Watafanywanye ?
waziri wa elimu (mh shukuru kawambwa) ktotoa maamuzi juu ya kurudi kwa waliofeli au kuendlea na kidato cha tatu
naibu waziri pia hatoa tamko lolote kuhsu mitihan.Ila tamko la Taifa likisema kuwa waliofeli waendlee kidato cha tatu,ila waandaliwe masomo yaziada yaani remidial class kwa wali waliofeli huku wakiendlea na masomo ya kdato cha tatu.
Taasis ya elimu nayo ikuwa mbli na mada hii,ila kauli yao inasema wanafunzi waliofeli wanapaswa kurudi ili kupunguza ongezeko La kufeli kidato cha nne katka mtihan wa Taifa.
Pia wanasema kuwa waliofeli awamu ya pili wanatakiwa kuondlewa katka (formal education) na kuendlea na masomo ya ufundi na veta.Ambpo wanaweza kusma pia na kuwa na usawa na wa formal education.
SWALI; je wanafunzi wa mwaka huu (wanaoingia kidato cha tatu 2014 )wasiporudishwa,vp kuhusu wanafunzi wa Mwaka jana waliorudishwa 2013? Watafanywanye ?