Iwapo Man City itafungiwa UEFA ,haya yaweza kutokea

Iwapo Man City itafungiwa UEFA ,haya yaweza kutokea

Aaron Arsenal

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2014
Posts
24,501
Reaction score
28,711
Unaambiwa kufungiwa kwa Manchester City kutawapa faida Arsenal na Manchester United kucheza Uefa.

Arsenal yupo na fasi ya 5 na Man U yupo nafasi ya 6.

Arsenal watapata faida hata kama hawajashinda Europa kwa vile wapo nafasi ya 5 watasogezwa juu ili zitimie timu nne kama kawaida.

Ila Man U wao watategemea matokeo ya Arsenal washinde Europa Arsenal wakibeba kombe la Europa watakuwa wame fudhu kupitia Europa ndipo Man U watachukuliwa kuziba nafasi ya Man City ili zitimie timu 5.

Kama Arsenal wasipochukua kombe la Europa itakua faida kwa Arsenal tu na Man U itakula kwao.

Hapo nawaona siku hiyo wale mashabiki wote wa Man U waliopanga kuishangilia Chelsea wataamia kuishangilia Arsenal sasa...[emoji3][emoji3][emoji3]


BREAKING: ManCity have been referred to the UEFA Club Financial Control Body adjudicatory chamber for potential breach of financial fair play rules.

 
Kuingia uefa kupitia viti maalum hakuna maana
 
Hizi ndoto wanaotaga watu wa milembe tu, sijui huku jf wapo?

Kiufupi tu man city hazuiliki zile ni tetesi tu na data za kupikwa hazina ukweli naona man u mnataka vitonga kuingia uefa, pambaneni, maisha hayana bahat ni kupambana
 
Back
Top Bottom