Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
Unaambiwa kufungiwa kwa Manchester City kutawapa faida Arsenal na Manchester United kucheza Uefa.
Arsenal yupo na fasi ya 5 na Man U yupo nafasi ya 6.
Arsenal watapata faida hata kama hawajashinda Europa kwa vile wapo nafasi ya 5 watasogezwa juu ili zitimie timu nne kama kawaida.
Ila Man U wao watategemea matokeo ya Arsenal washinde Europa Arsenal wakibeba kombe la Europa watakuwa wame fudhu kupitia Europa ndipo Man U watachukuliwa kuziba nafasi ya Man City ili zitimie timu 5.
Kama Arsenal wasipochukua kombe la Europa itakua faida kwa Arsenal tu na Man U itakula kwao.
Hapo nawaona siku hiyo wale mashabiki wote wa Man U waliopanga kuishangilia Chelsea wataamia kuishangilia Arsenal sasa...[emoji3][emoji3][emoji3]
BREAKING: ManCity have been referred to the UEFA Club Financial Control Body adjudicatory chamber for potential breach of financial fair play rules.
www.fotmob.com
Arsenal yupo na fasi ya 5 na Man U yupo nafasi ya 6.
Arsenal watapata faida hata kama hawajashinda Europa kwa vile wapo nafasi ya 5 watasogezwa juu ili zitimie timu nne kama kawaida.
Ila Man U wao watategemea matokeo ya Arsenal washinde Europa Arsenal wakibeba kombe la Europa watakuwa wame fudhu kupitia Europa ndipo Man U watachukuliwa kuziba nafasi ya Man City ili zitimie timu 5.
Kama Arsenal wasipochukua kombe la Europa itakua faida kwa Arsenal tu na Man U itakula kwao.
Hapo nawaona siku hiyo wale mashabiki wote wa Man U waliopanga kuishangilia Chelsea wataamia kuishangilia Arsenal sasa...[emoji3][emoji3][emoji3]
BREAKING: ManCity have been referred to the UEFA Club Financial Control Body adjudicatory chamber for potential breach of financial fair play rules.
Man City slam 'hostile' FFP investigation after being referred to adjudicatory chamber
UEFA's Club Financial Control Body has referred Manchester City to the adjudicatory chamber after a probe into alleged FFP breaches.