Iwapo Msigwa angemshinda Sugu yote haya angesema na kukimbilia CCM. Anyamaze kulinda heshima yake

Iwapo Msigwa angemshinda Sugu yote haya angesema na kukimbilia CCM. Anyamaze kulinda heshima yake

tripof

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2024
Posts
829
Reaction score
1,120
Nimetafakari kauli za Msigwa baada ya kuhamia CCM anaonekana kujivua nguo na CCM walivyo wanjanja wanamwachia abwabwaje wao wanamsikiliza tu. Bora anyamaze tu,kwani mbona awali hakuyasema yote haya. nimemdharau sana. ni kweli Mbowe anaqeza kuwa ameitoa Chadema kwenye misingi yake lakini haya yalikuwa ya kupambana ndani kwa ndani kama wanavyofanya wengine ie Mpina.Hapa dalili za Rushwa ya mama ni kubwa,wananchi tu mpuuze.
 
Nimetafakari kauli za Msigwa baada ya kuhamia CCM anaonekana kujivua nguo na CCM walivyo wanjanja wanamwachia abwabwaje wao wanamsikiliza tu. Bora anyamaze tu,kwani mbona awali hakuyasema yote haya. nimemdharau sana. ni kweli Mbowe anaqeza kuwa ameitoa Chadema kwenye misingi yake lakini haya yalikuwa ya kupambana ndani kwa ndani kama wanavyofanya wengine ie Mpina.Hapa dalili za Rushwa ya mama ni kubwa,wananchi tu mpuuze.
Heading Ina utata kidogo!! Pengine umesahau kuweka Question mark kwenye Sentensi ya kwanza
 
Nimetafakari kauli za Msigwa baada ya kuhamia CCM anaonekana kujivua nguo na CCM walivyo wanjanja wanamwachia abwabwaje wao wanamsikiliza tu. Bora anyamaze tu,kwani mbona awali hakuyasema yote haya. nimemdharau sana. ni kweli Mbowe anaqeza kuwa ameitoa Chadema kwenye misingi yake lakini haya yalikuwa ya kupambana ndani kwa ndani kama wanavyofanya wengine ie Mpina.Hapa dalili za Rushwa ya mama ni kubwa,wananchi tu mpuuze.
Uko sahihi. Halafu swali jingine: Matatizo ya Mbowe CHADEMA ndiyo yameigeuza CCM iwe chama kizuri ghafla namna hii?
 
Msigwa ameshindwa kuiga busara ya Lowasa RIP. Lowasa alipoondoka CCM hakusema lolote dhidi ya CCM. Na alipoondoka CHADEMA hakusema lolote dhidi ya CHADEMA.

Msigwa kila anaposema baya dhidi ya CHADEMA, anadharaulika kwa pande zote, alikotoka na alikoenda.
 
Na yeye kaitaka chai ya ikulu direct,,kwanini wawe kila siku wanakunywa wengine huku wao hawapati ka ladha
 
Maccm yanamuona Msigwa kama kasuku tu, anayobwabwaja wanamsanifu tu sijui hana ndugu wa kumsahuri aweke akiba ya maneno.
 
CHADEMA wapewe maua yao, hasa hasa kwenye kuona wachawi... haiwezekani mtu alitaka kuwa kiongozi mkubwa, halafu ghafla anaondoka kisa kakosa nafasi!
 
Back
Top Bottom