Elections 2010 Iz this Fair...?

Elections 2010 Iz this Fair...?

Anyisile Obheli

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2009
Posts
3,400
Reaction score
320
they pleased us to VOTE for them, yes we did it, ..But we asked them about better life for all...then they ignored us.. now onother period comes, they get readay with khanga, tishirt an caps so as to make us as a fools....I warn u, be carefull with them, thy are very dangerous in our future
 
That's why I won't vote this year!! NEVER!!
 
they pleased us to VOTE for them, yes we did it, ..But we asked them about better life for all...then they ignored us.. now onother period comes, they get readay with khanga, tishirt an caps so as to make us as a fools....I warn u, be carefull with them, thy are very dangerous in our future

Its very fair koz this tym wameongeza doti za Khanga na Vitenge...hata T shirts watagawa mbili mbili kwa kila mwenye kadi ya kupigia kura...
 
That's why I won't vote this year!! NEVER!!

You are among those who want CCM to be in power for life. If you dont vote how can you bring a change in the system. Your vote is an important tool for change, you have to use it.
 
But your can bring a change!
ni hilo tu.
A change? How? Nikipiga kura inaibiwa.... why wasting my time? Mtakapokuwa mnapiga kura I will be drinking a lot of cold beer. I swear!
 
i have never voted for previous years but this time i will vote but not Presidential candidate for CCM, it is rather i vote for JIWE but not this
 
You are among those who want CCM to be in power for life. If you dont vote how can you bring a change in the system. Your vote is an important tool for change, you have to use it.

Votes which don't count are worthless. You can never bring change Tanzania by just voting for an opposition and go, under the current system and current National Electoral Commission (NEC=NEC=CCM) don't expect a win to opposition. We need to do more than just voting to bring change, we need courage to show them that we want change and change doesn't come from them but from us!, how......
 
Mkuu tunaomba tujadili hii mada ambayo imesambazwa UK ,hasa juu ya viongozi wa CCM tawi UK,Txt msg imetumwa jana

"Siamini mama kumuacha mwanae wa miezi sita ,kijana wa miaka tano,na binti wa miaka 13 na kwenda dodoma kisa eti kaahiwa ubunge na u dc na kigogo ikulu.hivi ccm wanalijua hilo,kwamba yeye keshaula wengine walie tu.ama kweli chama kina wenyewe,hata siri hamna kama mnampa mtu cheo ,uk yote inajua mumewe avyotamba na kuonyesha watu text aliyotumiwa na Rais,mmm duniani kuna mambo"

Hapo katikati ndiyo msg iliyosambaa jana kabla ya watu wachache kutoka UK walioteuliwa kwenda Chimwaga kwa ajili ya mkutano wa ccm,Wadau wenzangu Tanzania imefikia mtu kutoka UK kwenda Tanzania ili kwamba akapate wadhifa.Je jopo la wanasiasa katika jambo forum manasemaje?kwa sababu hakuna kitu alichofanya katibu tangu achukue uongozi amebakia kujivuna tu.Je mheshiwa anaangalia nini katika kuwapatia post?Pia ccm london /UK imekufa kabisa wamebakia wa kuokoteza Weka kwenye ulingo wa siasa
 
That's why I won't vote this year!! NEVER!!

No Mr Asprin Take it khanga T-shart and other but remai it on election day vote for someone who think he/she can change for better life that is it.
 
ntavote kwa kiongozi ninadhani ataniletea mabadiliko ya kweli

DN
 
Mkuu tunaomba tujadili hii mada ambayo imesambazwa UK ,hasa juu ya viongozi wa CCM tawi UK,Txt msg imetumwa jana

"Siamini mama kumuacha mwanae wa miezi sita ,kijana wa miaka tano,na binti wa miaka 13 na kwenda dodoma kisa eti kaahiwa ubunge na u dc na kigogo ikulu.hivi ccm wanalijua hilo,kwamba yeye keshaula wengine walie tu.ama kweli chama kina wenyewe,hata siri hamna kama mnampa mtu cheo ,uk yote inajua mumewe avyotamba na kuonyesha watu text aliyotumiwa na Rais,mmm duniani kuna mambo"

Hapo katikati ndiyo msg iliyosambaa jana kabla ya watu wachache kutoka UK walioteuliwa kwenda Chimwaga kwa ajili ya mkutano wa ccm,Wadau wenzangu Tanzania imefikia mtu kutoka UK kwenda Tanzania ili kwamba akapate wadhifa.Je jopo la wanasiasa katika jambo forum manasemaje?kwa sababu hakuna kitu alichofanya katibu tangu achukue uongozi amebakia kujivuna tu.Je mheshiwa anaangalia nini katika kuwapatia post?Pia ccm london /UK imekufa kabisa wamebakia wa kuokoteza Weka kwenye ulingo wa siasa

toa details zaidi au SHUT-UP!!!

MMEZIDI NA NYIE SIASA ZA MAJITAKA
 
Mkuu tunaomba tujadili hii mada ambayo imesambazwa UK ,hasa juu ya viongozi wa CCM tawi UK,Txt msg imetumwa jana

"Siamini mama kumuacha mwanae wa miezi sita ,kijana wa miaka tano,na binti wa miaka 13 na kwenda dodoma kisa eti kaahiwa ubunge na u dc na kigogo ikulu.hivi ccm wanalijua hilo,kwamba yeye keshaula wengine walie tu.ama kweli chama kina wenyewe,hata siri hamna kama mnampa mtu cheo ,uk yote inajua mumewe avyotamba na kuonyesha watu text aliyotumiwa na Rais,mmm duniani kuna mambo"

Hapo katikati ndiyo msg iliyosambaa jana kabla ya watu wachache kutoka UK walioteuliwa kwenda Chimwaga kwa ajili ya mkutano wa ccm,Wadau wenzangu Tanzania imefikia mtu kutoka UK kwenda Tanzania ili kwamba akapate wadhifa.Je jopo la wanasiasa katika jambo forum manasemaje?kwa sababu hakuna kitu alichofanya katibu tangu achukue uongozi amebakia kujivuna tu.Je mheshiwa anaangalia nini katika kuwapatia post?Pia ccm london /UK imekufa kabisa wamebakia wa kuokoteza Weka kwenye ulingo wa siasa

Tumia akili za mbayu wayu alisema mkwele. Lakini mbayu wayu huyo huyo anajulikana kwa kutokuwa na makazi maalum maana ana nyumba moja Afrika na anayo nyingine Europe!
 
No Mr Asprin Take it khanga T-shart and other but remai it on election day vote for someone who think he/she can change for better life that is it.
Problem is: She/He won't win! Why wasting my time then?
 
mkitaja wazalendo naomba jina langu lisikuwemo kwenye list kabisa!
mkiniita mzalendo inanipunguzia apetaiti kabisa yaani.(asanteni kwa ushirikiano)
 
Back
Top Bottom