Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,400
- 320
they pleased us to VOTE for them, yes we did it, ..But we asked them about better life for all...then they ignored us.. now onother period comes, they get readay with khanga, tishirt an caps so as to make us as a fools....I warn u, be carefull with them, thy are very dangerous in our future
That's why I won't vote this year!! NEVER!!
That's why I won't vote this year!! NEVER!!
r'u serious? i'm not sure if u'r not the son of the main ''fisadi'' in dis countryThat is why i will vote this year.
A change? How? Nikipiga kura inaibiwa.... why wasting my time? Mtakapokuwa mnapiga kura I will be drinking a lot of cold beer. I swear!But your can bring a change!
ni hilo tu.
You bet!r'u serious? i'm not sure if u'r not the son of the main ''fisadi'' in dis country
You are among those who want CCM to be in power for life. If you dont vote how can you bring a change in the system. Your vote is an important tool for change, you have to use it.
That's why I won't vote this year!! NEVER!!
Mkuu tunaomba tujadili hii mada ambayo imesambazwa UK ,hasa juu ya viongozi wa CCM tawi UK,Txt msg imetumwa jana
"Siamini mama kumuacha mwanae wa miezi sita ,kijana wa miaka tano,na binti wa miaka 13 na kwenda dodoma kisa eti kaahiwa ubunge na u dc na kigogo ikulu.hivi ccm wanalijua hilo,kwamba yeye keshaula wengine walie tu.ama kweli chama kina wenyewe,hata siri hamna kama mnampa mtu cheo ,uk yote inajua mumewe avyotamba na kuonyesha watu text aliyotumiwa na Rais,mmm duniani kuna mambo"
Hapo katikati ndiyo msg iliyosambaa jana kabla ya watu wachache kutoka UK walioteuliwa kwenda Chimwaga kwa ajili ya mkutano wa ccm,Wadau wenzangu Tanzania imefikia mtu kutoka UK kwenda Tanzania ili kwamba akapate wadhifa.Je jopo la wanasiasa katika jambo forum manasemaje?kwa sababu hakuna kitu alichofanya katibu tangu achukue uongozi amebakia kujivuna tu.Je mheshiwa anaangalia nini katika kuwapatia post?Pia ccm london /UK imekufa kabisa wamebakia wa kuokoteza Weka kwenye ulingo wa siasa
Mkuu tunaomba tujadili hii mada ambayo imesambazwa UK ,hasa juu ya viongozi wa CCM tawi UK,Txt msg imetumwa jana
"Siamini mama kumuacha mwanae wa miezi sita ,kijana wa miaka tano,na binti wa miaka 13 na kwenda dodoma kisa eti kaahiwa ubunge na u dc na kigogo ikulu.hivi ccm wanalijua hilo,kwamba yeye keshaula wengine walie tu.ama kweli chama kina wenyewe,hata siri hamna kama mnampa mtu cheo ,uk yote inajua mumewe avyotamba na kuonyesha watu text aliyotumiwa na Rais,mmm duniani kuna mambo"
Hapo katikati ndiyo msg iliyosambaa jana kabla ya watu wachache kutoka UK walioteuliwa kwenda Chimwaga kwa ajili ya mkutano wa ccm,Wadau wenzangu Tanzania imefikia mtu kutoka UK kwenda Tanzania ili kwamba akapate wadhifa.Je jopo la wanasiasa katika jambo forum manasemaje?kwa sababu hakuna kitu alichofanya katibu tangu achukue uongozi amebakia kujivuna tu.Je mheshiwa anaangalia nini katika kuwapatia post?Pia ccm london /UK imekufa kabisa wamebakia wa kuokoteza Weka kwenye ulingo wa siasa
Problem is: She/He won't win! Why wasting my time then?No Mr Asprin Take it khanga T-shart and other but remai it on election day vote for someone who think he/she can change for better life that is it.
yes this good, big up ....go we need thus type of feelin'ntavote kwa kiongozi ninadhani ataniletea mabadiliko ya kweli
DN