Izzo Business na Yule mdada wa US wangekuwa couple tu

gerit

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2016
Posts
307
Reaction score
181
Wadau weekend inaendaje!!

Nilikuwa najipumzisha kwa kuchek planet bongo EATV na kuona jinsi walivyopendeza Izzo na uyo Dada wa USA.

Na kwamba Izzo ameonesha kijana wa hekima sana kwa kutojitutumua na kujiweka kama mmiliki wa uyo ingawa nafasi alikuwa nayo.

Kwa Mimi nionavyo wakiwa couple watafanikiwa sana in all fields sbb wanamatch vema.

Wakuu mnaonajeeee????

 
Mwenye picha hizo jirani atupie.
 
Umeona uje uku ukasifie izo mbeya boy[emoji23][emoji23] nakuonaa unakabunyua tuu!
 
nipe nipe namba ya abella music nimpigie...maana izzo business amesema huyo mtoto mkali sio mupenzi wake
 
Itakua kama Yale ya dai na zari mwanzoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…