Habar wanajamvi hili,
Ningependa kujua ni sheria ipi au kifungu kipi cha sheria anachotumia rais kuteua washauri wake????
Maaana hao washauri ni kama hawaijui kazi yao,na elimu ni pungufu kichwan.
Naombeni kujuzwa juu ya sheria au kifungu cha sheria kunachotumika kuteua washauri wa rais!!!!!!!!
Nawasilisha kwenu.