J malinzi mchawi kwenye timu ya taifa yupo

J malinzi mchawi kwenye timu ya taifa yupo

wakimataifa.

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
1,625
Reaction score
558
kwa muono wangu mvurugaji timu ya taifa yupo na ndio aliokuwa anamuyumbisha kocha.kwa akili ya haraka naamini ndio aliokuwa anamshinikiza kuteuwa wachezaji na kwakweli mtu yeyote timu haifanyi vizuri unashindwa kujiuzuru naye huyo alikuwa anamshinikiza asijiuzuru na si mwingine yupo tff na kiongozi ktk vilabu vya simba au yanga
 
kwa muono wangu mvurugaji timu ya taifa yupo na ndio aliokuwa anamuyumbisha kocha.kwa akili ya haraka naamini ndio aliokuwa anamshinikiza kuteuwa wachezaji na kwakweli mtu yeyote timu haifanyi vizuri unashindwa kujiuzuru naye huyo alikuwa anamshinikiza asijiuzuru na si mwingine yupo tff na kiongozi ktk vilabu vya simba au yanga

sasa hapa unataka tujadili nini..
 
unaongea umbea hapa watu tunataka mabadiliko...wewe unaleta urojo hapa....kajambe ulale huko
 
Back
Top Bottom