Wa Mjengoni
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 480
- 128
Bwana James Ruge mmliki wa kampuni ya VIP Engineering anatuhumiwa kugawa mshiko unaosadikiwa ni rushwa kwa wajamaa mnaowasikia wa Escrow. Jana tumeshuhudia wengine watatu wakipelekwa mahakamani kwa mshiko alioutoa bilionea huyu.
Swali langu: Kwa ujuaji wangu finyu wa sheria, sheria inasema MTOA rushwa na MPOKEAJI wote wana makosa ya kujibu. Hapa imeekaaje sasa mbona James....
Swali langu: Kwa ujuaji wangu finyu wa sheria, sheria inasema MTOA rushwa na MPOKEAJI wote wana makosa ya kujibu. Hapa imeekaaje sasa mbona James....