Jack Patrick Hana Huruma-Aendelea Kula Bata huku Mumewe Akiwa Anasota Gerezani

Jack Patrick Hana Huruma-Aendelea Kula Bata huku Mumewe Akiwa Anasota Gerezani

MaxShimba

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
35,771
Reaction score
4,065
MATENDO anayofanya mwanamitindo Jackline Patrick wakati mumewe Abdullatif Fundikira akiteseka gerezani, yametajwa kuwa ni usaliti wa asilimia miamoja na kwamba kama hatajirekebisha, mwisho wake utakuwa mbaya.
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR="bgcolor: transparent"]
[TD="bgcolor: transparent"][/TD]
[/TR]
[TR="bgcolor: transparent"]
[TD="class: tr-caption, bgcolor: transparent"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Hayo yamekuja kufuatia hivi karibuni kupatikana kwa picha zinazomuonesha mwanadada huyo akiwa kimahaba zaidi na modo mwenzake wa kiume, Martin Kadinda huku mume wake akisota nyuma ya nondo.
Picha hizo zinawaonesha wawili hao wakiwa wamekumbatiana na kufanyiana mambo yasiyostahili kufanyika mbele za watu pale walipokuwa wakiogelea kwenye moja ya fukwe zilizopo jijini Dar na nyingine wakijiachia klabu.


HUYU NDO JACK AMBAYE NI "MKE WA MTU" AKILA BATA NA MWANAUME MWINGINE AMBAYE NI MARTINE KADINDA
HUYU NDO MUME WAKE AKIWA GEREZANI
 
matendo anayofanya mwanamitindo jackline patrick wakati mumewe abdullatif fundikira akiteseka gerezani, yametajwa kuwa ni usaliti wa asilimia miamoja na kwamba kama hatajirekebisha, mwisho wake utakuwa mbaya.
[table="class: Tr-caption-container, align: Center"]
[tr="bgcolor: Transparent"]
[td="bgcolor: Transparent"][/td]
[/tr]
[tr="bgcolor: Transparent"]
[td="class: Tr-caption, bgcolor: Transparent"][/td]
[/tr]
[/table]
hayo yamekuja kufuatia hivi karibuni kupatikana kwa picha zinazomuonesha mwanadada huyo akiwa kimahaba zaidi na modo mwenzake wa kiume, martin kadinda huku mume wake akisota nyuma ya nondo.
picha hizo zinawaonesha wawili hao wakiwa wamekumbatiana na kufanyiana mambo yasiyostahili kufanyika mbele za watu pale walipokuwa wakiogelea kwenye moja ya fukwe zilizopo jijini dar na nyingine wakijiachia klabu.


huyu ndo jack ambaye ni "mke wa mtu" akila bata na mwanaume mwingine ambaye ni martine kadinda
huyu ndo mume wake akiwa gerezani

hayo macho ya mumewe kweli ni tapeli
 
Mlitaka ajifungie ndani atawe? Ingekuwa yeye ndo yuko ndani je mumewe angetulia? Wacha ajiachie bhana, asiekuwepo machoni....!
 
MATENDO anayofanya mwanamitindo Jackline Patrick wakati mumewe Abdullatif Fundikira akiteseka gerezani, yametajwa kuwa ni usaliti wa asilimia miamoja na kwamba kama hatajirekebisha, mwisho wake utakuwa mbaya.
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR="bgcolor: transparent"]
[TD="bgcolor: transparent"][/TD]
[/TR]
[TR="bgcolor: transparent"]
[TD="class: tr-caption, bgcolor: transparent"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Hayo yamekuja kufuatia hivi karibuni kupatikana kwa picha zinazomuonesha mwanadada huyo akiwa kimahaba zaidi na modo mwenzake wa kiume, Martin Kadinda huku mume wake akisota nyuma ya nondo.
Picha hizo zinawaonesha wawili hao wakiwa wamekumbatiana na kufanyiana mambo yasiyostahili kufanyika mbele za watu pale walipokuwa wakiogelea kwenye moja ya fukwe zilizopo jijini Dar na nyingine wakijiachia klabu.


HUYU NDO JACK AMBAYE NI "MKE WA MTU" AKILA BATA NA MWANAUME MWINGINE AMBAYE NI MARTINE KADINDA
HUYU NDO MUME WAKE AKIWA GEREZANI

huyu bwana hana madhara alifukuzwa shule wakati tupo shule alikutwa ameshikishwa ukuta.
 
huyu bwana hana madhara alifukuzwa shule wakati tupo shule alikutwa ameshikishwa ukuta.
HAAAAAAA!!!!kUMBE JAMAAA CHAKULA YA WATU SASA MBONA WATU WANABWABWAJA SANA KUPIGA PICHA HIZO NA HUYO DEMU!!!NI SHOSTI WAKE TU SI UNAJUA HAO MAGAYS WENGI HUWA MARAFIKI ZAO NI MADEMU
 
Back
Top Bottom