Jack Wilshere na Tom Cleverley: Nini kimewasibu Wachezaji hawa?

Soka lishaharibika especially kwenye signing wachezaji wanakua overpriced hasa wakitakiwa na timu za uingereza.mfano bonucci kaenda ac milan kwa paundi 32M wakati timu za uingereza ziliambiwa zitoe paundi 60M.
 
Kwa kumbukumbu tu: kikosi cha England cha WC 2018, hakuna hata Mmoja ana namba ya kudumu first 11 ukiacha Raheem anaerukaruka tu
 
Wote hawajawahi wala kukaribua kuwa World Class Players
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…