Jackline Jepkosgei Wins The New York City Marathon

Jackline Jepkosgei Wins The New York City Marathon

Hongera kwake naona pia kwa wanaume Kamworor anaelekea kushinda mbio hizo. Waethiopia wanafuata kwa karibu huku Watanzania Ni watazamaji tu.
😂😁 Wacha uchokozi bro
 
Hongera kwake naona pia kwa wanaume Kamworor anaelekea kushinda mbio hizo. Waethiopia wanafuata kwa karibu huku Watanzania Ni watazamaji tu.

Upuuzi kama huu ndiyo unanifanya niingilie mada kama hizi. Watanzania ni watazamaji, Wakikuyu wako wapi? Jepkosgei ni Mkalenjin, watu wa aterere mko wapi? Lazy Kikuyus.
 
Upuuzi kama huu ndiyo unanifanya niingilie mada kama hizi. Watanzania ni watazamaji, Wakikuyu wako wapi? Jepkosgei ni Mkalenjin, watu wa aterere mko wapi? Lazy Kikuyus.
Wasukuma na Wafipa wako wapi? Nyinyi Ni bure kabisa ham a lolote mnaloweza Ila kupiga mdomo na omba omba Tena mnajazana hapa Kenya na hamtambui kwa wakikuyu, wakalenjin ama hata wakamba, mnanyoshea vijibakuli vyenu kila mtu pasipo kujali kabila...mbona sasa unataka kujua kabila?
 
Upuuzi kama huu ndiyo unanifanya niingilie mada kama hizi. Watanzania ni watazamaji, Wakikuyu wako wapi? Jepkosgei ni Mkalenjin, watu wa aterere mko wapi? Lazy Kikuyus.
Usikasirike bro huwa tunataniana tu.
 
Nashangaa hao wanariadha wataenda kuishi wapi sasa kama serikali imewatoa kwenye shamba?
 
Hongera kwake naona pia kwa wanaume Kamworor anaelekea kushinda mbio hizo. Waethiopia wanafuata kwa karibu huku Watanzania Ni watazamaji tu.
Hahaa... Serikali yetu ndio ilifadhiri kwa 30% hayo mashindano. Hiyo $ 100,000 zawadi ya mshindi wamechanga wakazi wa Dar tena wa pale Manzese tu. 😉
 
Upuuzi kama huu ndiyo unanifanya niingilie mada kama hizi. Watanzania ni watazamaji, Wakikuyu wako wapi? Jepkosgei ni Mkalenjin, watu wa aterere mko wapi? Lazy Kikuyus.
Number 10, Mary ngugi..
 
Number 10, Mary ngugi..
Huyo namba 10 akija Tz anakuwa jina tajika Tanzania yote na kumwagiwa misifa Kama ile ya mteule Magufuli...mapambio right, left and centre.
 
Upuuzi kama huu ndiyo unanifanya niingilie mada kama hizi. Watanzania ni watazamaji, Wakikuyu wako wapi? Jepkosgei ni Mkalenjin, watu wa aterere mko wapi? Lazy Kikuyus.
Haha! 😀 Kwenye riadha watz ni wapenzi watazamaji, miguu yenu yote miwili huwa ni ya kushoto.
 
wadanganyika wanatulet down sana kwa michezo.It confirms everything about them "lazy Bones"
 
1000x-1.jpg
Wakenya waliibuka washindi kwenye NYC Marathon 2019, kwa wanawake na wanaume pia. Joyciline Jepkosgei na Geoffrey Kamworor, nafasi za pili pia zilinyakuliwa na wakenya Mary Keitany na Albert Korir.
 
1000x-1.jpg
Wakenya waliibuka washindi kwenye NYC Marathon 2019, kwa wanawake na wanaume pia. Joyciline Jepkosgei na Geoffrey Kamworor, nafasi za pili pia zilinyakuliwa na wakenya Mary Keitany na Albert Korir.

Wakalenjin siyo Wakenya, nyambafu.
 
wadanganyika wanatulet down sana kwa michezo.It confirms everything about them "lazy Bones"

Wakikuyu mnafaulu mchezo gani zaidi ya wizi na kupekejeng?
 
Back
Top Bottom