Jackline Mengi afunguka na kusema hajabadili wala kuhamisha kitu chochote cha Marehemu mumewe

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Amesema bado anamkumbuka sana Mumewe mpendwa na hajawahi Kuhamisha au kubadili kitu chochote Nyumbani kwa Marehemu Mumewe Mpendwa

 
Jac bado mrembo 40's pia mzima kichwani.
 
Moja ya wanawake warembo kuwahi kuwakubali nchini.
 
mzee alikuwa ndina, sasa amewaachia watoto na mama yao wakambo msala
 
Sijui mwamba gani anamla huyu ...anyway ngoja tukapige kura kwanza
 
Apige mishe zake kimyakimya tu au kama bado anataman ustaa arudi kuimba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…