...mwingine wa namna hii na aliyekuwa na mashauzi ya kufa mtu alikuwa ni Suzan George, mwanzoni mwanzoni wakati ITV ndio inaanza anza. Hivi aliendaga wapi yule bidada?
Alikua anaitwa Laura George mkuu
Au pia heunda mdau alimaansha Suzan Lyimo.
Watz mara nyingi hatupendi vitu vizuri.Mdada wa watu kiukweli anajitahidi sana tena,kwa jinsi ninavyojua utaratibu wa itv mpaka mtu upewe kusoma habari ni lazima uwe umeiva kisawasawa.Bidii na kujituma ndio kumemfikisha hapo nothing personal.
Nadhani ni tatizo la kimaumbile zaidi na wala sio mapozi ,yaani ndivyo alivyo tu na wala siyo shida anasoma vizuri tu na muhimu maneno yanasikika kwa upande wangu , angalia usomaji wa Godwin Lazima Mkono uchezecheze kama anaelekeza , haya Maulidi kitenge Matamshi yake, by the way Salma Dakota anakuja vizuri na katulia sio kama alivyokuwa anachamba kipindi cha redio na Hanifa lol !
Usimung'unye maneno...malizia ni mzuri pia. ..lolYaani sisi kazini kwtu ikifika saa saba tunafu.gulia taarifa ya habari na kama ni salma dakota
Furaha inaongezeka zadi dada ana sauti nzuri sana
Usimung'unye maneno...malizia ni mzuri pia. ..lol
Au pia heunda mdau alimaansha Suzan Lyimo.
Hilo la kukaza sura nilizani nimeliona peke yangu,
Hivi wahusika wanaoandaa kipindi hawamuoni kuwa huyu binti ha-fit kusoma habari?
...mwingine wa namna hii na aliyekuwa na mashauzi ya kufa mtu alikuwa ni Suzan George, mwanzoni mwanzoni wakati ITV ndio inaanza anza. Hivi aliendaga wapi yule bidada?
mi mdomo tu anavouweka wakati akiwa anaongea ndo ananishangaza...kuanzia leo fuatilieni mdomo wake anavoubinua utadhani anasuta watazamaji