Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Kushangaa vepe?!π³π³π³
Amina MtumishiRUM. :10:13
kwa kuwa, Kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka.
Namtakia maisha mema ya wokovu kwa maana amechagua fungu lililo jema
Hahahahaha anahela skuhizi Wolper sio mwenziomaisha kweli vipi mmeishiwa!
HihihihiHuyu haelewiki ashabadili kuwa muislam yaani hapa mpe miezi miwili apate danga la kiarabu litangaze nia nakwambia ataitwa chausiku na shungi kubwa
Wewe ni Wolper au?!Mimi je
Hata mm nimeokoka mbna mjanipostπππππππWewe ni Wolper au?!
kuishiwa sio mpaka uishiwe pesa hata strategies za kiki unaweza kuishiwa!Hahahahaha anahela skuhizi Wolper sio mwenzio
Kwahiyo ukiokoka unakuwa umeishiwa sio? !
Madam na wewe ni mwenzetu kutoka senene region?
Wokovu ni wetu sote bi shosti, na wokovu ni kwa neema tu