Jackline Wolper or Jackline Lowassa

Ni dada anaejielewa sana.
Jackline anajua matatizo ya wasanii.
 
Ni Kamanda wa ukweli aisee!! Namkubal sana huyu dada...
Ni kati ya wasanii watakaoingia kwenye vitabu vya kumbukumbu ya mabadiliko baada ya oct 25..
 
Ukawa wala siwaflag hata kidogo,kama Ccm nao navyowadisi siku lowasa akibeba nchi nahama nchi hii naenda kuishi bora hata ulaya vijijini ulaya nako si kuna vijiji wazee?au..?
 
Ni Kamanda wa ukweli aisee!! Namkubal sana huyu dada...
Ni kati ya wasanii watakaoingia kwenye vitabu vya kumbukumbu ya mabadiliko baada ya oct 25..

Kabisa mkuu yan kiukwel amejitoa sana kweny kampen hiz viva Jack Vivaaa
 
Ukawa wala siwaflag hata kidogo,kama Ccm nao navyowadisi siku lowasa akibeba nchi nahama nchi hii naenda kuishi bora hata ulaya vijijini ulaya nako si kuna vijiji wazee?au..?

anza kunyanyua majeshi mkuu
 
Reactions: THT
Huyu dada yuko vizur ni bonge la kamanda anafanya kampeni ki stadi sana mbunifu, ana msimamo dah nimemkubali...sio lazima na ww umkubal ila mm nimemuelewan..big up sana Jackline!

kwani wewe hujui kazi ya msanii huyo kafata neema tu hapo usi babaike
 
Ni dada anaejielewa sana.
Jackline anajua matatizo ya wasanii.
Hehe angekuwa CCM ingekuwa nongwa na tungesikia kuwa ni msaliti,kumbe wakati nyie miita wasaliti hawa wasanii wapo kikazi zaidi sawa na huyo Wolper anavyotumika huko Chadema ndio hata wengine wanatumika huko CCM,wote hatuwezi kuwa sawa.
 
Hehe angekuwa CCM ingekuwa nongwa na tungesikia kuwa ni msaliti,kumbe wakati nyie miita wasaliti hawa wasanii wapo kikazi zaidi sawa na huyo Wolper anavyotumika huko Chadema ndio hata wengine wanatumika huko CCM,wote hatuwezi kuwa sawa.

ukitaka kujua uzuri wa ccm uwe na KESi au UUGUE.
 
Ubungo Postaaa. . .Chai .. Usalama. . . Unaingia. . . . . . . .wapiga debe wana swaga sana!!!!!
 
Ukawa wala siwaflag hata kidogo,kama Ccm nao navyowadisi siku lowasa akibeba nchi nahama nchi hii naenda kuishi bora hata ulaya vijijini ulaya nako si kuna vijiji wazee?au..?

Kama jiji haliko bize sana kama ilivyo tanga unaliita vi-jiji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…