Jackline Wolper: Pengo langu linanisaidia kupata mabwana.

Jackline Wolper: Pengo langu linanisaidia kupata mabwana.

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Mwanadada Jacqline Wolper ambaye aliwahi kudondoka dhambini na Diamond Platnumz miaka kadhaa iliyopita kabla hajaenda kusuguliwa vilivyo na mmakonde wa mtwara Harmonize kisha kutemwa vibaya na kuokotwa na Brown ambaye naye pia amemtema , amedai kuwa kitu pekee kinachomsaidia kuvutia madanga ya kumkuna vilivyo na kumpatia pesa za matumizi ni pengo lake ambalo ametumia gharama kubwa kwenda kulitengeneza South Africa.

Screenshot_2017-12-19-01-50-29.jpg


Screenshot_2017-12-19-01-50-17.jpg


Ila huyu bi dada naye hana lolote, [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]anajiita pengo danga na anang'ang'ana kutengeneza meno wakati huko chini kuna hali mbaya kila anayempata anamkimbia kutokana na harufu kali isiyovumilika [emoji87] [emoji87] [emoji87] .


Cc Wambeya mje tuumung'unye ubuyu wa kulalia.
 
Mwanadada Jacqline Wolper ambaye aliwahi kudondoka dhambini na Diamond Platnumz miaka kadhaa iliyopita kabla hajaenda kusuguliwa vilivyo na mmakonde wa mtwara Harmonize kisha kutemwa vibaya na kuokotwa na Brown ambaye naye pia amemtema , amedai kuwa kitu pekee kinachomsaidia kuvutia madanga ya kumkuna vilivyo na kumpatia pesa za matumizi ni pengo lake ambalo ametumia gharama kubwa kwenda kulitengeneza South Africa.

View attachment 654149

View attachment 654150

Ila huyu bi dada naye hana lolote, [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]anajiita pengo danga na anang'ang'ana kutengeneza meno wakati huko chini kuna hali mbaya kila anayempata anamkimbia kutokana na harufu kali isiyovumilika [emoji87] [emoji87] [emoji87] .


Cc Wambeya mje tuumung'unye ubuyu wa kulalia.
IMG-20171218-WA0034.jpg
sijui naye yumo?
 
Kujitangazia umalaya imekua sifa
 
Halijui matumizi ya grease na oil... [emoji30] [emoji30] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Teheheheh mkuu vyote vilainishi, ila tukifungua hiyo Pandora box, hata yule mama wa KY ataruhusu ziuzwe kama njugu.
 
Hivi brown yupogo mdada Mrembo but she's not lucky jamn,usililie Uzuri Lilia bahati
 
Pengo south usikute kariakoo shimoni kule bongo movie sio wa kuwaamini Ila watu walimuharibia kwa yule mcongo wolper alitulia bana no drama
 
eti Mmakonde wa Mtwara, hivi Ukabila utaisha lini au wivu mwenzio kashamtia dude
 
e4a0d3b7b24e74d2f2aefb6d50818949.jpg

[emoji3] [emoji1] [emoji23]
Mkuu haya matusi ya mwilini sasa.
 
Back
Top Bottom