Jacky Mengi aka Jezebel's Daughter


Kazi yangu mi umbea, and I have been here for ages my Dear, walikuwepo wafisadi kuliko wewe na Sasa hvi hawapo tena , but I'm still here shining , and whether you like it or not , warumi ni kama maji , you can't avoid me darling , yani unajisumbua tu kuandika waraka mkubwaa, pengine unatafuta kiki kupitia Mimi , kama unaona wivu anzisha uzi wako na wewe uone kama kuna mtu atakayesoma , usijilinganishe na mm hata kidogo .

Kama hutaki kusikia habari za watu , you can easily https://jamii.app/JFUserGuide off, you ask me to mind my mind business while you are here minding my business , Sasa sijui nikuelewe vipi , yani mi umbea Ndo Dani yangu unajisumbua tu cheusi dawa.
 
Mwacheni Dada Wa watu jamani eeeh! Halafu kuna mama humu anapenda kumdiss jack yaan hata kama uzi hauhusiani na Jacky lazima amtaje na kuchomekea story ya jacky.kama kudate/kuolewa na wazee ni big deal kaoleweni na nyie wazee bado wapo wengi tu mbona.#niwivutuuuu
 
Shame on you hater
 

Na sisi kama ulimwengu tunakataa kumfundisha, arudishwe huko huko kwa *****,
 
Majibu yako tu yanaonesha ni kwa kiwango gani ulivyo uncivilized...anyway siyo makosa yako.
 
Umeyasikia ya twitani hukoo?
 
Kuna msemo wa kizungu unasema "Never argue with a fool because people might not note the difference"
 
Asante
Manaake wengine tukiongea tunaonekana tua wivu!
Ukweli unauma!kuishi na mzee sio mchezo!
 
while familia ya MENGI ikiwa kimya KEYBOARD warriors wapo busy na theory zao za kijasusi na kipepelezi zisizo na kichwa wala miguu


hivi mlifikiri huyo mzee wa miaka 75 ataishi milele au wanakufa watoto wa miaka 10 ndio sembuse huyo mzee aliyejifia kwa kukata lingi umri ulishamtupa mkono na mwili ulishatikisika kwa magonjwa

siku zake zilifikia baaaaaasi
 
Nimegundua kuwa wewe ni Mange Kimambi
 
Circumstantial evidence yaweza kutumika!
Mzee alitakiwa kuwa na muda wa kupumzika wa kutosha na siyo kupelekeshwa huku na kule na hekaheka chungu nzima!
 
Hata yale maneno aliyoyasema Mzee Mengi kwamba bila Jack huenda angeshakufa ni ya uongo. Kuna uwezekano mkubwa mzee wa watu alilishwa maneno.

Tuendelee kulishana matango pori na mabichi.


Watanzania wenzangu tutafute pesa.
Ukiwa maskini kama warumi , chochote kinachokuja mbele yako lazima ulale nacho mbele. Kwa maana siku zote idle mind ni maalumu kwa kukushughulika na maisha ya watu.
 
Jackline/kylln ndo kamuua mzee mengi, ili arithi Mali za mengi. Period espy
Na wewe muue mumeo kama ni kazi rahisi kiasi hicho.




Hivi watanzania mkoje ????????.

Watu hamtaki kutumia vichwa vyenu kujaza maarifa ya msingi badala yake mnavitumia kuonyesha mitindo ya nywele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…