Jacob Gamali wa City Fm ni zaidi ya mtangazaji

AKILI TATU

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2016
Posts
2,659
Reaction score
2,827
Binafsi mimi ni msikilizaji wa city fm radio ya dar es salaam,wanakipindi chao cha michezo kila siku kuanzia saa moja hadi saa mbili,katika hiko kipindi kuna mtangazaji mmoja hivi anasauti nzuri na anajua sana kuongea lugha ya kiswahili kwa ufasaha,anaitwa Jacob Gamali huyu jamaa kiukweli inabidi watangazaji a redio za kibongo wajitahidi kumuiga kwani hana papara wakati anatangaza,sauti yake imetulia alafu anajua sana kupangilia maneno ,yani sijui kwa nini media kubwa hazimuoni huyu jamaa
 
CITY FM?, naikumbuka ilikuja ikaitwa PRT kisha TBC FM.au hii ni nyingine?.Kuna nyingine ilitwa Sky FM ipo hewani? Kuhusu huyu mtangazaji anafahamu vizuri kuwapatia wasikilizaji wake.
 
Biashara matangazo hapa
 
CITY FM?, naikumbuka ilikuja ikaitwa PRT kisha TBC FM.au hii ni nyingine?.Kuna nyingine ilitwa Sky FM ipo hewani? Kuhusu huyu mtangazaji anafahamu vizuri kuwapatia wasikilizaji wake.
HII NI NYINGINE MKUU,HAIKO NDANI YA TBC INAJITEGEMEA YENYEWE KWANI INAMILIKIWA NA HALMASHAURI YA JIJI LA DAR ES SALAAM
 
CITY FM?, naikumbuka ilikuja ikaitwa PRT kisha TBC FM.au hii ni nyingine?.Kuna nyingine ilitwa Sky FM ipo hewani? Kuhusu huyu mtangazaji anafahamu vizuri kuwapatia wasikilizaji wake.
Nyingine kabisa,redio inamilikiwa na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam
 
Nkadhan n ya mkoan njee ya bongo
 
Mi napenda Juma Nature na ule wimbo wake Usicheza Kwa Mapepe Watu Watakushangaa. Mwenyenao aweke hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…