AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,659
- 2,827
HII NI NYINGINE MKUU,HAIKO NDANI YA TBC INAJITEGEMEA YENYEWE KWANI INAMILIKIWA NA HALMASHAURI YA JIJI LA DAR ES SALAAMCITY FM?, naikumbuka ilikuja ikaitwa PRT kisha TBC FM.au hii ni nyingine?.Kuna nyingine ilitwa Sky FM ipo hewani? Kuhusu huyu mtangazaji anafahamu vizuri kuwapatia wasikilizaji wake.
KIVIPI MKUU?Biashara matangazo hapa
KWANI BOSSI KUNA UBAYA KUMSIFIA MTU?Sasa ulikuwa na pendekezo gani labda mkuu?
Nyingine kabisa,redio inamilikiwa na Halmashauri ya Jiji la Dar es SalaamCITY FM?, naikumbuka ilikuja ikaitwa PRT kisha TBC FM.au hii ni nyingine?.Kuna nyingine ilitwa Sky FM ipo hewani? Kuhusu huyu mtangazaji anafahamu vizuri kuwapatia wasikilizaji wake.
hahaha,matangazo ya aina gani hayo?Kuna harufu ya matangazo hapa!
Huna najionaga niko mbele ya muda kumbe sio,ikiwa Halmashauri ya Dar ina radio halafu sijui basi hii ni shigda.Nyingine kabisa,redio inamilikiwa na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam
MH,UNAMAANA GANI ?Huna najionaga niko mbele ya muda kumbe sio,ikiwa Halmashauri ya Dar ina radio halafu sijui basi hii ni shigda.
Niko nyuma ya wakati.MH,UNAMAANA GANI ?
POLE SANA MKUU,ILA JAIRU KUIFUATILIA HIYO REDIO COZ INAKUJA JUU SANANiko nyuma ya wakati.