Jacob Steven (JB): Sijabarikiwa kupata mtoto mpaka sasa, sijawahi kuwa na mchepuko

kwani kulishawahi kuwepo huko kuadopt!
kuadopt ni konsept ya kizungu, haijawaji kukubatiwa sana na wabongo wa kawaida, zaidi ya wale wenye mambo ya kizungu
Wapo waliokuwa wanafanya hivo, shida inakuja mtoto anakuwa na vinasaba vya wazazi kama vile wizi, ulevi
 
Kwa imani yako mungu hata kusahau kamwe, usichoke kusubiri mzee Jacob,sikuo la mungu ni sikivu na mkono wake hutenda kazi vyema, hivyo endelea kumtumainia yeye
 
Kwani mtoto ndio atakutoa kimaisha au? Acheni mawazo mgando nyie..
 
Ndo zao hawa jamaa, kama kanumba tu...alikataaaaaa weeeee mwisho wa siku kila mtu kajua...
 
Weka hilo andiko lako tuone
Tazama,NIMEWAPA AMRI ya kukanyaga nge na nguvu zote za yule adui,wala hakuna kitu kitakachowadhuru.Luka 10:19. pia Yohana 14:12 imeandikwa,"amin,amin nawaambieni,Yeye aniaminiye mimi,KAZI NIZIFANYAZO mimi,yeye naye ATAZIFANYA,naam na kubwa kuliko hizo atafanya.pia Marko 16:17 "na ishara hizi zitafuatana na wote waaminio;kwa jina langu WATATOA pepo,watasema kwa lugha mpya,watashika nyoka,hata wakinywa kitu cha kufisha,hakitawadhuru kabisa,wataweka mikono juu ya wagonjwa,nao watapata afya
 
Dr mwaka angemsaidia jb na mkewe mana alikua noma sana
 
JB Mzee wa kupiga Deki..
Nasikia watoto wa kike wanamvyomsifia!
 
Toa kwanza elimu alafu ndio tutakutumia hela..
 
Sio mimi nliyetoa magirlfriend Wangu ila me bado mdogo still
....teh hee hee.,dogo dishi limeyumba,ama?
...wajijua we bado mdogo still lakini unakwich kwich bila kinga na magirlfriend wasio waaminifu,
...wakati hutaki kujiingiza katika mambo mabaya yatakayoathiri future yako na MAMA yako,
...unaetamani kumpatia wajukuu SI CHINI ya 10 kwa mke mmoja(dizaini ya hawa hawa watoa mimba wasio waaminifu??) maana kuzaa na wanawake tofauti sio vizuri utajitafutia lawama bure na kuacha mke unaogopa!
...jiangalie,una ndoto nzuri ila acha kwenda peku
.MAMA atakusahau sasa hivi!
 
Wengi huenda China na Kwa Madiba,walioambiwa hawzai sasa wana watoto
Yes i know. Wangapi wanauwezo wa kwenda huko china? Nilikuwa naongelea gharama hapo!
 
Mke wake si angepandikizwa tu wazae mbona inawezekana kama pesa ipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…