Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 1,155
- 1,209
- Thread starter
-
- #21
Ndo Nini icho mkuuJamaa anapokaa eye shadow, na eye liner, mimacho yake ya kuzimu inaeleza wazi kinini Wamarekani na dunia tutapata.
Mjadala inabidi uwe inakuwaje mwanamme mzima anapokaa eye liner.
Yap anaibeba vizuri tu, mfano anakotoka Ohio,Trump atashinda Kwa kishindo,Kwa hiyo anaweza kuibeba Republican?
Sasa Kijana wa umri huo utamlinganisha na Mzee kama Trump? Hilo sio liko wazi tuuJana kulikuwa na debate kati ya Jade Vance wa chama Cha republican na Tim Walz kutoka democrats.
Niliangalia hiyo debate, yaani Trump alipomchagua Vance, watu waliona Kama amechagua chaguo lisilo sahihi, hata Republican wenzake walikuwa hawamkubali Vance.
Debate ya Jana imebadilisha Kila kitu, Vance Yuko smart sana na more intelligent kuliko Trump.
Kwenye mitandao Wamarekani wanasema Vance ni presidential material ndo alipaswa kugombea na sio Trump.
Soma Pia: Donald Trump Amteua Mgombea Mwenza wake Mwenye Umri wa Miaka 39
Hapa Trump alipiga cate nzuri sana
Kwa maoni yako.Jana kulikuwa na debate kati ya Jade Vance wa chama Cha republican na Tim Walz kutoka democrats.
Niliangalia hiyo debate, yaani Trump alipomchagua Vance, watu waliona Kama amechagua chaguo lisilo sahihi, hata Republican wenzake walikuwa hawamkubali Vance.
Debate ya Jana imebadilisha Kila kitu, Vance Yuko smart sana na more intelligent kuliko Trump.
Kwenye mitandao Wamarekani wanasema Vance ni presidential material ndo alipaswa kugombea na sio Trump.
Soma Pia: Donald Trump Amteua Mgombea Mwenza wake Mwenye Umri wa Miaka 39
Hapa Trump alipiga cate nzuri sana
Noo Harris sioni akishinda Georgia,Arizona ,North Carolina hizo states atapigwa ila Pennsylvania ndo itaamua winnerUkweli ni kuwa, kwa sasa warepublican wengi wanasema ni bora huyo Vance angekuwa mgombea wao wa urais kuliko Trump.
Hii ina maana gani?
Kuna kila dalili kuwa, warepublican wengi kimtindo wameanza kumkatia tamaa Trump kuweza kushinda, hawaoni namna rahisi ya kuweza kutoboa mbele ya Kamala Harris ambaye amezidi kuchanja mbuga kuelekea Ikulu.