Baba_Enock muache mwenzako alonge.....hii ni forum ya celebrities, na hao ni macelebrities, muache jF senior expert member apost....ndio maana anaitwa senior expert.....lingekuwa jukwaa la siasa ndio tungesema LOW....ila kwa hapa ni sawa kabisa.
mnh miaka minane????saa hizi walitakiwa kuongelea ndoa/watoto wenyewe ndio wanaachana???
afu why put in public??au ana agenda yake huyo jaffarai?:twitch::twitch: