Jaffarai na Shy-Rose na Kuheshimiana baada ya kuachana

ok...kwahiyo shyrose kaachwa.....duh noma kweli sista du kapigwa chini.....lol
 
Jafarai alikuwa anampeleka wapi yule BIBI KIZEEE

Jafarai ndio kaachwa asilete za kuleta hana lolote kwani alikuwa anafuata PESA kwa yule Demu.

Demu naona kaamu sasa kuona Mbele kwani Umri Unasonga mbele (KM Zinasonanga ) wkt huyu kijana bado ndio yupo kwenye Bongoflava...............yaani vichwa vyao vina shika Channel tofauti

Cha huyu kinashika Clouds radio wkt cha mwingine kinashika Radio One.............wapi na wapi

Shyrose tafuta m2 mzima mwenzako utulie naye Muendeleze maisha achana na hao BongoFalava hawana lolote watakupasua Kichwa wkt ww una PR yako nzuri sana
 
just wondering!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

me tooo....you know idle minds are devil's workshops. huyo jafer amepata mwingine wa kumlisha, kumvisha, kumtunza, kumpa pocket money etc etc...

shyrose naye atafute wa rika lake...
 
Hao ndio maceleb wetu TZ sasa wanaopinga hii post walitaka tuzungumzie maceleb wao wa US na UK tu.
 

Kwani alishaacha mziki, au mziki haulipi mpaka amtegemee Shy kwa kila kitu hukusiana na pesa?
 
Kama Mziki unalipa Nenda na ww Ukaimbe Bono Fleva na Kuuza Sura kwenye Runinga ndipo Utajua........
 
kwenye facebook page ya jaffarai inasema:
NIMEAMUA
KUACHANA NA ALIEKUA MPENZI
WANGU KWA TAKRIBAN MIAKA
8 SHYROSE BHANJI..

Kwani ni nini cha ajabu hapo ikiwa hata wanandoa wanaweza kuachana??/
 
Kwani ni nini cha ajabu hapo ikiwa hata wanandoa wanaweza kuachana??/

ndio maana hii post haikuwekwa kwenye jukwaa la mahusiano na mapenzi au hujui upo jukwaa gani?
 
waachane wasiachane waungane wasiungane watajua wao hayatuhusu
 
Nadhani atakua kapata jimama jingine la kumlea. Apeleke mibangi yake huko haihusu.
 
Jamaa ana maumivu ya moyo ambayo huyakuni wala kuyakanda sasa anatafuta pa kupumilia..mpeni pole mwanaume kuhangaika sio U-marioo
 
Muda huu naskiliza Clouds fm, Jaffaray anahojiwa na B12, anadai Mr Sugu katembea na mchumba wake Shyrose, ivo ameamuacha
 
Leo Jaffaray yuko live kipindi cha XXL kinachorushwa na Clouds fm akisema kaachana na Shyrose Banji ni kutokana na kugundua kuwa amecheat na ana Uhusiano na Hon. JOSEPH MBILINYI.
 
Haiwezekani!! duh kama kweli imekaa vizuri hiyo. Shy anataka fame from Suguuuuuu. Kwelli girls kizunguzungu.
 
Wadau jamvini,kuna taarifa zinasambaaa kwamba mheshimiwa Mbunge wa Mbeya mjini a.k.a Sugu kwa sasa anatoka na Shy Rose Bhanji...mwenye uhakika au habari zaidi amwage hapa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…