JAHAZI la CLOUDS bila KIBONDE haliwezekani.

JAHAZI la CLOUDS bila KIBONDE haliwezekani.

Mwita25

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2011
Posts
3,831
Reaction score
1,169
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni! Ni ukweli usiofichika kuwa Kibonde anapokosekana kwenye Jahazi mambo yote huwa yanakwenda shagalabagala. Hawa watoto kina Kayanda huwa wanacheza makidamakida na kujiumauma tu. Kwa lugha nyepesi, Jahazi haliwezekani bila Anko Kibondez.
 
clouds ffffffffffffffffmmmmmmmmmmmm:A S 465::A S 465::A S 465::A S 465:
 
Virus detected....loading....Virus Scanned! Press Ok to continue!
 
Samahani jamani ni JAHAZI gani analolizungumzia Mwita25?
 
Back
Top Bottom