Jahazi linapoelekea kuzama Mbowe na CCM waja na mkakati mpya. Tuona na kusikia mengi!

Jahazi linapoelekea kuzama Mbowe na CCM waja na mkakati mpya. Tuona na kusikia mengi!

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kwamba?

Ghinbe_XkAAmxdl.jpeg


Ila mdahalo wameukimbia?

Kwani mahuku-taabu lini waliwahi kumpenda au kumtakia jema?

Ukweli mchungu: "kunguru hategwi au kushawishiwa kwa maharage makavu!"
 
Bado siku mbili jumapili na jumatatu mdahalo mwingine unaweza kufanyika tu hata nyumbani kwake. Mbona press tatu kwa siku anaweza kufanya? Aache kukimbia mdahalo
 
Bado siku mbili jumapili na jumatatu mdahalo mwingine unaweza kufanyika tu hata nyumbani kwake. Mbona press tatu kwa siku anaweza kufanya? Aache kukimbia mdahalo

Ni kawaida walio dhaifu kuikimbia midahalo:

GhfNpRNXoAAuh7s.jpeg


Hata mwamba na timu yake wanajua.

Tofautisha mdahalo na hadithi mama na mwana kwa hisani ya CCM na Klauzi.
 
Back
Top Bottom