jailbreak ur itouch & iphone...

Cestus

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
987
Reaction score
132
kama wewe ni mtumiaji wa ipod touch,au iphone unaweza ukashangazwa na jinsi device hzo zilivo limited kwa baadh ya feature kama customization,downloading files from internet,na hata jinsi kila kitu kinavotegemea itunes na appstore...if u want 2 put an end to all of that...jailbreak ur device!
 
What is jailbreak..?? and how can i do that..??
 
ts like freeing ur device n urself from apple restrictions...once u've jailbreak it,u cn install themes to ur ipod/iphone,watch flash videos which apple devices doesnt support,install free apps,tweak ur iphone, n so much more..i'll post a tutorial hw to do that,ts easy as ABC!
 
ok, i'll be waiting for that Chief..
 
What is jailbreak..?? and how can i do that..??

Mkuu kwa kuongezea tu, ni kwamba business model ya Apple Inc. ni 'Walled Garden Approach', wanataka ku-control bidhaa zao zote (Hardware na Software) wanafanya hivyo kupitia iTune store, Apple stores, Network Operators, na Dealers...

Sasa kama wewe kwa mfano umetengeneza ka-application kako unataka ka-run kwenye kifaa (iPhone au iPod Touch) inakuwa vigumu kuka-install bila kupitia iTune store ili kawe digitally signed na wao (Apple Inc. lazima wanufaike kimapato,) hii ni kama kufungiwa jela!

Sasa ili kuondoa kadhia hii wataalamu wamebuni ujanja wa kuvunja hilo jela (Jail Breaking) na kukiweka kifaa chako (iPhone, ipod Touch) huru. Likisha vunjwa jela hilo utakuwa na uwezo wa kutumia kifaa chako kwenye mobile network yeyote na pia ku-install any third party software whether iko digitally signed or not...:kev:

 
Spirit ipo compatible na 2.0,na 3.0 firmware series...kama una2mia 4.0 or later,unaeza kutumia limera1n..Google is ur friend if u want to use limera1n for iOS 4.
 
 
 
A jailbreak is simply the ability to run apps and use themes and tweaks not approved by Apple. Jailbreaking doesn't slow down your device or use any extra battery. A jailbreak lets your device be how you want it.
 
doctor atakaeuliza swali hapo cjui?!
 
A jailbreak is simply the ability to run apps and use themes and tweaks not approved by Apple. Jailbreaking doesn't slow down your device or use any extra battery. A jailbreak lets your device be how you want it.
Chukua haya maandishi yako kama yalivyo na upaste kwenye google search uone mambo mazuri. Kazi nzuri Dr!
 
Chukua haya maandishi yako kama yalivyo na upaste kwenye google search uone mambo mazuri. Kazi nzuri Dr!

nimeyachukua kama ulivyo na nimeyapaste kwenye google ckuamini macho yangu page yote inaongelea icho icho kuonyesha ni kweli so kwa mara ya kwanza umekubali wengine then gonga thnx
 

mkuu cjakuele mantiki yako bado kwamba unaponda or unajua sana kuliko wote mana kama mwenzako kakosea k2 bac ww unaejua mwelekeze kile unachojua kuliko kukosoa na kunyamaza akuna aliezaliwa anajua wote tumejifunza/tunajifunza mfano jb ulojibu la sprit ni sahihi na mm binafsi naipenda ninapopata iphone yyote napenda kutumia spirit nijue kwanza ni version gani itakuonyesha
 
nimeyachukua kama ulivyo na nimeyapaste kwenye google ckuamini macho yangu page yote inaongelea icho icho kuonyesha ni kweli so kwa mara ya kwanza umekubali wengine then gonga thnx

Ni kugongee thanks ya nini kwa kucopy mabandiko ya wenzio na kuyabandika hapa? siku nyingine ukifanya hivyo weka tomato yake aisee! ulitakiwa ubadilishe hata angalau baadhi ya vimaneno Aisee we ni noma nimekukubali aisee!
 
Ni kugongee thanks ya nini kwa kucopy mabandiko ya wenzio na kuyabandika hapa? siku nyingine ukifanya hivyo weka tomato yake aisee! ulitakiwa ubadilishe hata angalau baadhi ya vimaneno Aisee we ni noma nimekukubali aisee!

na ww toa mabandiko yako tuyabandike we kazi kufwatilia mabandiko ya wenzako utafkiri upo hati miliki or tbs toa mabandiko acha kufatanafana
 
na ww toa mabandiko yako tuyabandike we kazi kufwatilia mabandiko ya wenzako utafkiri upo hati miliki or tbs toa mabandiko acha kufatanafana


Bora kukaa kimya ni busara zaidi, kuliko kucomment kwa kuiba post za forums nyingine eti ili na wewe uonekane unajua ingali hamna kitu zaidi umecopy na kupaste.....
 
Bora kukaa kimya ni busara zaidi, kuliko kucomment kwa kuiba post za forums nyingine eti ili na wewe uonekane unajua ingali hamna kitu zaidi umecopy na kupaste.....

hapo kwenye red umecomment vzuri sana ebu kaa kmya bac kuliko kufatilia post zangu/za wengine toa bandiko lako finish.
 

Well................
 

Attachments

  • 378977_word_jpg708953828fa90a7c4cf67367576df4de.jpeg
    15 KB · Views: 36
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…