Jaji Chande Othman, Mtanzania anayeichunguza CIA na MI6 kwa mauaji ya Katibu Mkuu wa UN

Jaji Chande Othman, Mtanzania anayeichunguza CIA na MI6 kwa mauaji ya Katibu Mkuu wa UN

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
Tnamfahamu Jaji Chande Othman, aliyekuwa Jaki Mkuu wa Tanzania.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amemteua kuchunguza kifo cha Katibu Mkuu wa zamani, Dag Hammarsjold, aliyeuwawa kwa ajali ya ndege huko Ndola Zambia.

Kifo cha Dag Hammarksjoold wengi wamehisi ulukuwa mpango maalum wa mabeberu kuzuia kasi ya uhuru wa nchi za kusini mwa Afrika.
Dag Hammerskjold, raia wa Sweden, alijipambanua kuwa mtetezi mkubwa wa nchi za Afrika kjitawala.

Uchunguzi huo, chini ya Umoja wa Mataifa utahitimishwa na ripoti ambayo Jaji Chande anaitayarisha na kuikabidhi kwa Katibu Mkuu wa sasa wa Umoja wa Mataifa ..

Source: New York Times
Do Spy Agencies Hold Answer to Dag Hammarskjold’s Death? U.N. Wants to Know.
 
huyu chande anayeaibisha mahakama na kuifanya kama sio muihimili wa nchi
 
Kama wana uwezo Kwa nini wasiwashitaki akina Bush, Obama, Sarkozy, Blair na Cameron kwa mauaji ya Iraq, afigahnstan , libya, DR Congo nk nk.

Mahakama za wazungu koko ziache unafiki.
 
Kama wana uwezo Kwa nini wasiwashitaki akina Bush, Obama, Sarkozy, Blair na Cameron kwa mauaji ya Iraq, afigahnstan , libya, DR Congo nk nk.

Mahakama za wazungu koko ziache unafiki.
Mkuu na mimi huwa nawazo hivyo.
Lakini hawa wakubwa ndio walioanzisha hizo mahakama , na hata kuchangia kuziendesha.
Ukisoma hata jiyo source ya habari yangu, imechukua miaka zaidi ya 55 kudai ukweli wa kuuwawa kwa Katibu Mkuu wa Umaoja wa Mataifa.
Wengi wanasema hii ilikuwa "Project" ya CIA.
 
Mkuu na mimi huwa nawazo hivyo.
Lakini hawa wakubwa ndio walioanzisha hizo mahakama , na hata kuchangia kuziendesha.
Ukisoma hata jiyo source ya habari yangu, imechukua miaka zaidi ya 55 kudai ukweli wa kuuwawa kwa Katibu Mkuu wa Umaoja wa Mataifa.
Wengi wanasema hii ilikuwa "Project" ya CIA.


Ndiyo maana, nikasema ni wanafiki sana hawa wazungu koko.

Mara zote matatizo yanayotokea wanayatengeneza makusudi kabisa .

Kisha , wanakuja Kama wakombozi kitu ambacho siyo kweli .

Any way, afrika tunahitaji mental liberation ili tueleweke vizuri. Na kujisimamia bila hivyo bara tutakuwa wasindikizaji kwenye hii Dunia
 
Back
Top Bottom