Kufa c mwiko
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 752
- 320
Nianze kwa kukupa pole na majukumu mazito ya kulijenga taifa letu.
Mimi kama mwananchi nina maoni au ushauri kuhusu Jaji Dkt. Adam Mambi wa Mahakama Kanda ya Kati DODOMA.
Sina shaka hata chembe na utendaji wake nikili wazi tatizo lipo kupanga ratiba za kazi zake, mtu unasafiri kilomita 500 mpaka 600 kuja kusikiliza kesi inaahirishwa ndani ya dakika 5 kwamba mheshimiwa Jaji kabanwa na kazi nyingine.
Na sio mara moja, mh Jaji Mkuu kwa sisi wakulima maisha ni magumu unafika DODOMA siku moja kabla kesi unalala gesti kesho unafika mahakamani unaombwa excuse Jaji kabanwa na ratiba nyingine inaumiza Sana
Nikutakie majukumu mema, ni hayo tu.
Mimi kama mwananchi nina maoni au ushauri kuhusu Jaji Dkt. Adam Mambi wa Mahakama Kanda ya Kati DODOMA.
Sina shaka hata chembe na utendaji wake nikili wazi tatizo lipo kupanga ratiba za kazi zake, mtu unasafiri kilomita 500 mpaka 600 kuja kusikiliza kesi inaahirishwa ndani ya dakika 5 kwamba mheshimiwa Jaji kabanwa na kazi nyingine.
Na sio mara moja, mh Jaji Mkuu kwa sisi wakulima maisha ni magumu unafika DODOMA siku moja kabla kesi unalala gesti kesho unafika mahakamani unaombwa excuse Jaji kabanwa na ratiba nyingine inaumiza Sana
Nikutakie majukumu mema, ni hayo tu.