Jaji kiongozi Fakh Jundu amjibu Lissu kuhusu tuhuma zilizotolewa dhidi ya Mahakama Bungeni

Kwani Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, imeishatoa maamuzi au huyu Jaji Jundu anaitolea maamuzi?. Jambo halijapelekwa kwake yeye unajishaua tu!. Basi alete utetezi wa kisheria, au tuwapambanishe live yeye na Lisu kama anadhani ana hoja.
Kweli amedhihirisha kuwa hakuwa na sifa ya kuwa alipo kwani anarukia mambo yasiyomhusu.
 
henge,
jaji mborouk, mmoja kati ya majaji 3 wanaosikiliza rufaa ya lema hana degree ya sheria. Je, kama yeye yuko pale kimizengwe atamtendea haki lema? Si anajipendekeza kwa mteuaji wake anayegombana na lema?


ahaaah hili linchi bana, mtu hana degree anakuwaje jaji??
Najua sifa ya kuwa jaji ni kuwa na degree ya sheria!
 
Huyu jaji kazidi kujivua nguo maana kakanusha kama watu wavijiweni wafanyavyo!
Naona mziki wa Lissu bado haujapa mchezaji!
Hadi sasa hajajibu hata hoja moja ya Mh lissu.
 
Nilidhani kweli Jaji Kiongozi katoa kile kinachoweza kuitwa majibu kwa hoja za Mhe. T. Lissu...

Kimbelembele changu changu cha kutafuta walau hoja moja iliyojibiwa kimeniacha na hasira....

Hawa watu wanazidi kuchokoza umma na ipo siku watarushiwa mayai viza!
 

Penye Red,
Heri mayai ya viza. Unadhani mama ambaye ameonewa mumewe na Mahakama akawa Mjane wa mfumo wake mbovu ataacha kurusha mawe?
 
kwani hii ilitokea mkuuu???

hujui! Kuna jaji anasoma open university sasa hivi. Alikuwa na diploma, post graduate diploma na mastaz ya utawala. Mheshimiwa akamgonga ujaji.
 
Henge,
Jaji Mborouk, mmoja kati ya majaji 3 wanaosikiliza Rufaa ya Lema hana degree ya sheria. Je, kama yeye yuko pale kimizengwe atamtendea haki Lema? Si anajipendekeza kwa mteuaji wake anayegombana na Lema?


kumbe huyu fisadi wa kazi yupo kwenye hii kesi? Huyu hafai hata kuwa hakimu. Alitakiwa kuwa kwenye mambo ya utawala na siyo kusikiliza kesi. Hii kesi imekwisha haribiwa
 
Kazi ipo. Hili swala liko kwa majaji(mahakamani) walimalize wenyewe, chezea tundu wewe.
 
Penye Red,
Heri mayai ya viza. Unadhani mama ambaye ameonewa mumewe na Mahakama akawa Mjane wa mfumo wake mbovu ataacha kurusha mawe?


Unajua nini mkuu Mikael P Aweda,

Kuna watu wamesota sana kusoma na bado wanahangaika huku makazini kwa sababu ya upuuzi kama huu wa kupeana kazi kwa kuangalia sura. Hali ni mbaya utadhani utumishi wa umma umekuwa kama mchakato wa kuchumbiana na kupeleka posa. Kama huyu bwana asingekuwa kang'ang'ania ofisi kwa upendeleo, kuna watu wenye uwezo wangekuwepo hapo na wanachapa kazi!!

Leo hii, watoto wa masikini wamechapa kazi wakasoma na kuwa na vyeti safi, ila kupewa kazi ni kimbembe. Na pale wanapopata kazi, huko kazini wanaishia kuwa punda wa kudunda mzigo uliotukuka na kuwapandisha wababaishaji vyeo !!

Natamani nihame hii nchi kwa muda...if it were possible anyway!!
 
Last edited by a moderator:
The Principal Judge, Mr Fakih Jundu, has defended his appointment, dismissing as baseless claims by Singida East legislator, Mr Tundu Lissu, that he was unconstitutionally given the post.

The Principal Judge, Mr Fakih Jundu Mr Lissu (Chadema) told the National Assembly session in Dodoma last month, that Justice Jundu was appointed by President Jakaya Kikwete to the position at the time when he had already retired.

Justice Jundu told a news conference in Dar es Salaam that claims by Mr Lissu were baseless and challenged the MP to produce evidence on the illegality of his appointment. "All procedures were followed in my appointment," he stressed, but admitted that he was 63 years old.

Justice Jundu, however, declined to give details on the issue, saying that whoever needed more information on the matter should make efforts to consult relevant authorities. According to Article 101(1) of the constitution, a High Court Judge should go on retirement after attaining the age of 60 years.

However, under Article 101(3) the president may extend the service of a judge who is beyond 60 years on public interest, provided that judge accepts the extension in writing. Earlier, Judge Jundu officiated at the ceremony where Mr John Rugalema Kahyoza took oath of office following his recent appointment as the Deputy Senior Registrar of the High Court. Before his appointment, Mr Kahyoza was Registrar of the Commercial Division of the High Court.
 
hujui! Kuna jaji anasoma open university sasa hivi. Alikuwa na diploma, post graduate diploma na mastaz ya utawala. Mheshimiwa akamgonga ujaji.

Mkuu naomba uwe makini na maelezo yako! Hapo kwenye red; tafadhali sema UJAJI WA RUFAA na sio ujaji wa kawaida. Huyu akiamua ule kitanzi unakula hivi hivi tunaona ukiacha wajane na mayatima. Mola tusaidie.
 

Teh teh teh teh! Hebu mlio karibu naye mshaurini huyo Jaji akae kimya. Asipokuwa makini atamharibia hata Rais aliyemteua. Wakati mwingine kukaa kimya nayo ni busara. Hivi kwa akili yake anadhani atashindana na hoja za Lissu?

Kwa hivi vinchi vyetu uchwara vilivyojaa kila aina ya vitimbi hako ka-statement:
provided that judge accepts the extension in writing kanachekesha kweli na inavyoelekea ndio "mstari" anaosimamia kuhalalisha hoja yake. Such kind of loopholes should be fixed in the new Constitution.
 

"Kipengele cha dini kiingizwe kwenye sensa". TAFAKARI
 
Mkuu naomba uwe makini na maelezo yako! Hapo kwenye red; tafadhali sema UJAJI WA RUFAA na sio ujaji wa kawaida. Huyu akiamua ule kitanzi unakula hivi hivi tunaona ukiacha wajane na mayatima. Mola tusaidie.

Kwa hiyo, mtu asiye na degree ya Sheria kapewa uajaji wa mahakama ya rufaa yenye uweze kutoa hukumu ya kifo kwa mtu ye yote na mtu mzima na degree yake kichwani anakaa JF anamtetea Kikwete siku nzima.

 
Mimi ningemwona Jundu ana hoja kama angejibu hoja za Lisu kuhusu yeye moja baada ya nyingine badala ya kujibu Kisiasa. Kama Je kwa Umri alionao bado anazo sifa za kuwa Jaji Kiongozi? Ukomo wa Umri wa Jaji Kiongozi ni miaka mingapi, na yeye yupo within?
 
kwani hii ilitokea mkuuu???

mkuu henge ndo umeshuka leo kutoka sayari ya mars nini? jaji wa mahakama ya rufaa ya tz aitwaye mbarouk salim mbarouk fr6 zenji kumbe ana diploma ya law ya ud na bachelor of arts. sasa hivi ndo anaitafuta LLB pale pa professor mbwete(open university)
 
Lissu ana mtindio wa ubongo, la sivyo analipwa hela nyingi sana kuimba taarabu bungeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…