Jaji Kiongozi: Wanaopeleka kesi Mahakamani bila kuwa na ushahidi wachukuliwe hatua

Jaji Kiongozi: Wanaopeleka kesi Mahakamani bila kuwa na ushahidi wachukuliwe hatua

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Jaji Kiongozi wa Mahakama ya Tanzania Dkt. Eliezer Fereshi ameagiza ngazi mbalimbali za mamlaka zinazohusika kufanya usuluhishi kuchukua hatua kwa watu au taasisi zinazopeleka kesi Mahakamani bila ya kuwa na ushahidi na kupelekea kuwepo kwa mahabusu wengi gerezani na kesi kuchukua muda mrefu.

Ameyasema hayo wakati akizindua jengo la mahakama ya wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma na kuongeza kuwa Mahakama inaendelea kuhakikisha wilaya zote nchini zinakuwa na majengo yake, kuongeza watumishi na vitendea kazi sambamba na kutumia teknolojia kurahisisha usikilizwaji wa mashauri.

1619176793637.png
 
Hii ni kauli ya kisiasa sio ya kisheria,

Kisheria madhara ya kutokuwa na ushahidi ni kwa kesi kufutwa na aliyepeleka kesi kutakiwa kulipa gharama.

Sasa sijui yeye anapendekeza nini kifanyike zaidi ya hapo.
 
Hilo si la msingi sana kama hili la kumshikilia mtu mahabusu kwa muda mrefu kwa kigezo cha kukusanya ushahidi ama kufanya uchunguzi mwisho Wa siku mtu anakuja onekana hana hatia na keshakaa ndani miezi, mwaka/miaka
 
Jaji Kiongozi wa Mahakama ya Tanzania Dkt. Eliezer Fereshi ameagiza ngazi mbalimbali za mamlaka zinazohusika kufanya usuluhishi kuchukua hatua kwa watu au taasisi zinazopeleka kesi Mahakamani bila ya kuwa na ushahidi na kupelekea kuwepo kwa mahabusu wengi gerezani na kesi kuchukua muda mrefu.

Ameyasema hayo wakati akizindua jengo la mahakama ya wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma na kuongeza kuwa Mahakama inaendelea kuhakikisha wilaya zote nchini zinakuwa na majengo yake, kuongeza watumishi na vitendea kazi sambamba na kutumia teknolojia kurahisisha usikilizwaji wa mashauri.

Maneno Haisadii wapeleke mswaada wa sheria mbungeni upitishwe, na mahakimu, wakili wa Serikali watakao kaa na kesi zaidi za miezi sita wafukuzwe kazi
 
Sasa kwny kesi ya Seth na Ruge atashtakiwa Marehemu?

Kwny kesi ya Uamsho, Msoga itaburuzwa Mahakamani?

Hii tabia ya kupeleka kesi zisizo na kichwa wala miguu zina bore sana
 
Hilo si la msingi sana kama hili la kumshikilia mtu mahabusu kwa muda mrefu kwa kigezo cha kukusanya ushahidi ama kufanya uchunguzi mwisho Wa siku mtu anakuja onekana hana hatia na keshakaa ndani miezi, mwaka/miaka
Na yeye kamanisha ivyo watu wanakaa mabusu muda mref kwa kukosekana ushaidi au nimelewa tofaut
 
Yeeeeee na yeeeeee everyone has founds his/her voice back!kweli jiwe alikua Dictator wa nguvu maana aliweza to silence more than 50M people's including former Presidents,PMs etc etc
 
Jaji Kiongozi wa Mahakama ya Tanzania Dkt. Eliezer Fereshi ameagiza ngazi mbalimbali za mamlaka zinazohusika kufanya usuluhishi kuchukua hatua kwa watu au taasisi zinazopeleka kesi Mahakamani bila ya kuwa na ushahidi na kupelekea kuwepo kwa mahabusu wengi gerezani na kesi kuchukua muda mrefu.

Ameyasema hayo wakati akizindua jengo la mahakama ya wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma na kuongeza kuwa Mahakama inaendelea kuhakikisha wilaya zote nchini zinakuwa na majengo yake, kuongeza watumishi na vitendea kazi sambamba na kutumia teknolojia kurahisisha usikilizwaji wa mashauri.

Shyster Judge
 
Jaji Kiongozi wa Mahakama ya Tanzania Dkt. Eliezer Fereshi ameagiza ngazi mbalimbali za mamlaka zinazohusika kufanya usuluhishi kuchukua hatua kwa watu au taasisi zinazopeleka kesi Mahakamani bila ya kuwa na ushahidi na kupelekea kuwepo kwa mahabusu wengi gerezani na kesi kuchukua muda mrefu.

Ameyasema hayo wakati akizindua jengo la mahakama ya wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma na kuongeza kuwa Mahakama inaendelea kuhakikisha wilaya zote nchini zinakuwa na majengo yake, kuongeza watumishi na vitendea kazi sambamba na kutumia teknolojia kurahisisha usikilizwaji wa mashauri.

Ili kuthibitisha kauli yake hiyo,

Masheikh wa uamusho waachiliwe wote haraka sana bila masharti yoyote ndani ya wiki
 
Yeeeeee na yeeeeee everyone has founds his/her voice back!kweli jiwe alikua Dictator wa nguvu maana aliweza to silence more than 50M people's including former Presidents,PMs etc etc
Waganda kwa asili Yao ni watu wabishi, wakorofi, argumentative and the like. Lakini Idd Amin silenced them when he started abducting them, killing them secretly, jailing them without cause, and the like. Jiwe alikuwa muuaji wa karne katili wa kutukuka, usingeliweza kufurukuta unless una sacrifice maisha yako. Waandishi wa habari wana msemo wao kuwa"No news is worthy of my life".
 
Huyu ndiye aliyesababisha Fatma Karume kuondolewa leseni ya uwakili!
 
Waganda kwa asili Yao ni watu wabishi, wakorofi, argumentative and the like. Lakini Idd Amin silenced them when he started abducting them, killing them secretly, jailing them without cause, and the like. Jiwe alikuwa muuaji wa karne katili wa kutukuka, usingeliweza kufurukuta unless una sacrifice maisha yako. Waandishi wa habari wana msemo wao kuwa"No news is worthy of my life".
100%nipo
 
Hii ni kauli ya kisiasa sio ya kisheria,

Kisheria madhara ya kutokuwa na ushahidi ni kwa kesi kufutwa na aliyepeleka kesi kutakiwa kulipa gharama.

Sasa sijui yeye anapendekeza nini kifanyike zaidi ya hapo.
Sasa si kasema wanaopeleka kesi bila ushahidi wachukuliwe hatua ndio hiyo sasa hatua itaangalia sheria inatakaje.
 
Huyu naye si alikuwa DPP, ana uhakika tukirudi nyakati zake atakuwa salama?
 
Jaji Kiongozi wa Mahakama ya Tanzania Dkt. Eliezer Fereshi ameagiza ngazi mbalimbali za mamlaka zinazohusika kufanya usuluhishi kuchukua hatua kwa watu au taasisi zinazopeleka kesi Mahakamani bila ya kuwa na ushahidi na kupelekea kuwepo kwa mahabusu wengi gerezani na kesi kuchukua muda mrefu.

Ameyasema hayo wakati akizindua jengo la mahakama ya wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma na kuongeza kuwa Mahakama inaendelea kuhakikisha wilaya zote nchini zinakuwa na majengo yake, kuongeza watumishi na vitendea kazi sambamba na kutumia teknolojia kurahisisha usikilizwaji wa mashauri.

Masikini Mwendazake , kisharukwa na kila mtu !
 
Hii ni kauli ya kisiasa sio ya kisheria,

Kisheria madhara ya kutokuwa na ushahidi ni kwa kesi kufutwa na aliyepeleka kesi kutakiwa kulipa gharama.

Sasa sijui yeye anapendekeza nini kifanyike zaidi ya hapo.
...kwenye criminal procedure, judges and magistrates know what it means by "initial orders" bcoz hii part ya public law.
Changamoto ni ktk civil ambako ni one against one, (civil law)
 
Back
Top Bottom