Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 752
Kila chenye mwanzo, .......
ITV live hapa jaji mstaafu Lewis Makame alipofika kusoma matokeo ya Jimbo la Ubungo akapatwa kigugumizi ndipo mkurugenzi wa NEC akamwambia eti Jimbo la Ubungo linarekebishwa bado aklaliruka baada ya mjadala wa kama 2min na kuendelea na Jimbo la ukerewe. Heheheehe looks like they are not over with kuchakachua mpaka mbele ya waandishi wa habari na live kwenye TV zote local???
yap makame amemezeshwa kila kiu kumbe uchakachuaj bado, seems idadi imewachanganya may be kubwa kuliko ya vituoni, kiravu kamwambia ujue kwa ubugo Mnyika ana data full so lazma yalingane na ya kwake!hawa jamaa ni wehu sana uamnbiwe hawana hata aibu, pia very low band with hata kuchakachua namba zisizo na unknown wanashindwa? just whole number inakuwa kazi je wangewekewa dy/dx? matokeo yangekuwa yanatoka after a year
Kiravu shetani kweli mpare yule. Makame alitaka kuingia kichwa kichwa kusoma matokeo na 'kivuitu' akamuwahi. Halafu yule mtangazaji aliniboa zaidi kuingilia kile tulichokuwa tunasikia wakinong'onezana.