Kumbe zinatoka Chadema propaganda,ebu tuondelee huu upuuzi
weledi uliokinyume na katiba ya chama, kukimbilia mahakaman ndo kabisa kunamfukuzisha uanachama...wajinga wanasifia waelewa wanamhurumia tuuu hyo kibaraka wenuNampongeza kijana Albert Msando kwa kuwagaragaza wazee wa CHADEMA ACADEMIA. Endelea kuomba ushauri kutoka kwa watu weledi na si kusikilizamihemko ya akina Mbowe na Mtei
Tanzania haina mahakama..ni upuuzi mtupu.m
Nimenukuu kutoka mtandao wa -----------forum: "Taarifa zilizotufikia kutoka vyanzo vya kuaminika ndani ya Chadema zinasema,Jaji Robert Makaramba ndiye aliyeandaa kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya baraza la wadhamini na katibu mkuu wa Chadema.Hayo yalipatikana katika mawasiliano yaliyonaswa kati ya wakili Albart Msando anayemtetea Zitto na Jaji Makaramba.kwa mujibu wa taarifa hiyo hata usikilizwaji wa kesi hii umekuwa wa kasi kutokana na hatua hiyo ya Jaji kuwa mshiriki wa mdai na serikali kuwa nyuma ya kesi hiyo" TAFAKARINI
Nimenukuu kutoka mtandao wa -----------forum: "Taarifa zilizotufikia kutoka vyanzo vya kuaminika ndani ya Chadema zinasema,Jaji Robert Makaramba ndiye aliyeandaa kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya baraza la wadhamini na katibu mkuu wa Chadema.Hayo yalipatikana katika mawasiliano yaliyonaswa kati ya wakili Albart Msando anayemtetea Zitto na Jaji Makaramba.kwa mujibu wa taarifa hiyo hata usikilizwaji wa kesi hii umekuwa wa kasi kutokana na hatua hiyo ya Jaji kuwa mshiriki wa mdai na serikali kuwa nyuma ya kesi hiyo" TAFAKARINI
Nimenukuu kutoka mtandao wa -----------forum: "Taarifa zilizotufikia kutoka vyanzo vya kuaminika ndani ya Chadema zinasema,Jaji Robert Makaramba ndiye aliyeandaa kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya baraza la wadhamini na katibu mkuu wa Chadema.Hayo yalipatikana katika mawasiliano yaliyonaswa kati ya wakili Albart Msando anayemtetea Zitto na Jaji Makaramba.kwa mujibu wa taarifa hiyo hata usikilizwaji wa kesi hii umekuwa wa kasi kutokana na hatua hiyo ya Jaji kuwa mshiriki wa mdai na serikali kuwa nyuma ya kesi hiyo" TAFAKARINI
Tanzania haina mahakama..ni upuuzi mtupu.m
Nimenukuu kutoka mtandao wa -----------forum: "Taarifa zilizotufikia kutoka vyanzo vya kuaminika ndani ya Chadema zinasema,Jaji Robert Makaramba ndiye aliyeandaa kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya baraza la wadhamini na katibu mkuu wa Chadema.Hayo yalipatikana katika mawasiliano yaliyonaswa kati ya wakili Albart Msando anayemtetea Zitto na Jaji Makaramba.kwa mujibu wa taarifa hiyo hata usikilizwaji wa kesi hii umekuwa wa kasi kutokana na hatua hiyo ya Jaji kuwa mshiriki wa mdai na serikali kuwa nyuma ya kesi hiyo" TAFAKARINI
kadhalika wewe ulichokiandika ni uchochozi mtupu.unastahili kuogopeka kama ukoma na jamii nzima.sidhani kama umekielewa kilichoandikwa hapa,soma upya halafu urudi tena!Acha uchochezi kwanini unapenda uchochezi utakusaidia nini? hivo unajua adhari itakayopatikana na huo uchochezi yaani mbona mnapenda kubadilisha badilisha maneno haulaumu ulipo jikwaa unalaumu ulipoangukia ni upofu mbaya huo binadamu gani msiyojiona mnamapungufu jamani hatari hatari ni wa kuogopwa kama ukoma!!!!!!!!!
nadhani inaeleweka kuwa Zitto ndo alishinda shauri la jana mahakama kuu! Kinachozungumzwa hapa ni kuwa hiyo kesi iliandaliwa na huyo mh.Jaji.huku ni kutapatapa kwa mfa maji tu, zito ni akili kubwa na wakili wake ni akili kubwa c lisu majazba yamemjaa anatoa povu mdomon. Kubali zito ameshnda pamoja na wote wapenda haki msilete visingizio vya kibavicha hapa
Nimenukuu kutoka mtandao wa -----------forum: "Taarifa zilizotufikia kutoka vyanzo vya kuaminika ndani ya Chadema zinasema,Jaji Robert Makaramba ndiye aliyeandaa kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya baraza la wadhamini na katibu mkuu wa Chadema.Hayo yalipatikana katika mawasiliano yaliyonaswa kati ya wakili Albart Msando anayemtetea Zitto na Jaji Makaramba.kwa mujibu wa taarifa hiyo hata usikilizwaji wa kesi hii umekuwa wa kasi kutokana na hatua hiyo ya Jaji kuwa mshiriki wa mdai na serikali kuwa nyuma ya kesi hiyo" TAFAKARINI
moderator potezea hii post kumtuhumu jaji kwa ushahidi hewa akilivalia njuga kwa kushushiwa hadhi jamii forum inaweza pata matatizo
Tanzania haina mahakama..ni upuuzi mtupu.m